Recent content by tighasokolo

  1. T

    Ubunge Viti Maalum kupitia UVCCM, Mbona Walioshinda ni Watoto wa Viongozi Pekee?

    Mkuu unaona ajabu nini kura za maoni so umeshuhudia watoto wa walala hoi wanavyoandamama wapiga kura wamenunuliwa kwa fedha zao wenyewe na huko uvccm ulitegemea miujiza, escrow, Richmond n.k ndio kazi yake. kama una hasira kama zangu 25 October ongozana na wenzako kama mia hivi tukawaadabishe!!
  2. T

    CCM yawaita watanzania ni VIBAKA?

    Wamesahau yaliyompata aliyekuwa katibu wao makamba alikwenda TARIME akawambia vijana vibaka na jimbo likachukuliwa na vibaka hao!!
  3. T

    Kweli CCM Tunachukiwa!

    Acha kudanganya watu, lami imechakachuliwa utadhani hatuna wataalam kwa sababu wanaambiwa warudishe 10%, Shule hakuna huduma ni shule kama unabisha nitajie mtoto mmoja tu wa kigogo anae soma shule mokawapo ya shule hizo za kata. hazifai ndio maana hawawezi kupeleka watoto wao hapo! Chakula kipi...
  4. T

    Makamu wa Rais Gharib Bilal kutangaza kukihama chama cha Mapinduzi

    Amechelewa sana alitakiwa kujiuzuru toka ccm walipotangaza 5 bora na kuachwa kwa sababu ya kukosa maadili. Mwandosya na wewe toka ccm. ccm ilikuwa enzi hizo acha kulalamika mzee ukilalamika watoto watafanyaje?
  5. T

    Kamanda Lowassa: CCM ni hodari kwa kuiba kura

    Hujakosea Lizaboni hata kura zilizokamatwa TARIME wakati wa kura za maoni zilikuwa zinapelekwa ballot box!!!!!! Mambo yote 25 October.
  6. T

    Kilichojiri uchukuaji wa fomu ya mgombea Urais kupitia UKAWA-Lowassa

    Yatarushwa na TV gani wakuu ili vibaraka wa ccm watakaoona aibu ya kujiunga nayo waone kuwa wamechelewa kujiunga na safari ya uhakika, ya ukombozi!!!
  7. T

    Zitto na Hamphrey Polepole wauponda UKAWA

    Nimjinga tu ndie hajui ACT ni taw ccm.
  8. T

    Kwa nini wasomi wasikomboe taifa hili?

    Hawaezi kulikomboa kwa sababu ya mfumo uliopo madarakani ni kuhakikisha taifa halikomboki ila wachache wenyemadaraka wanakomboka! msomi yeyote anaejitokeza kufanya kazi ya masilahi kwa taiga anatengenezewa zengwe watafanyaje ili maisha aende wanaulizwa wanachotaka nini wanajazwa mapesa kimya...
  9. T

    Zinduka: Siasa inanunua watu, Polepole naye kanunuliwa

    MKUU sikusikia uchambuzi wake. kama ndivyo kuna haja WARYOBA kumtimua kwenye timu take ya katiba nimeamini sasa watanzania sasa hawa watu wametufanya wapumbavu vya kutosha wanazidi kunipa hasira nikalale kituoni trh 25! Yaani makongamano yote aliofanya na anayoendelea kufanya no kufisadi pesa ya...
  10. T

    Goli la mkono lenyewe, hivi ni jinsi linavyoingia kama sio kuingizwa

    Wanajamii wenzangu naomba mnitoe wasiwasi huu wa kuzagaa kwa habari ya vijana wakati wanajiandikisha mawakala wa Ccm walikuwa wanawapa ishara waandikishaji mamluki waliopandikizwa na ccm kuwatolea kadi feki. wakati wa zoezi la kuweka alama utambulisha wa vidole mawakala hawa walikuwa hawabonyezi...
  11. T

    Ushahidi kuwa Lowassa hakupata wadhamini milioni moja laki sita

    Umepewa data za unakika dunia no kijiji kwa sasa. unajua Tanzania INA mikoa 30 wilaya 169 kata si pungufu ya 10 kila wilaya kila kata ina vijiji si pungufu ya 4 hesabu ulisoma? Kama ulisoma utajua watu million Moja laki sita wanaweza kupatikana ndani ya dakika nane!!!! kwanini ukurupuke na...
  12. T

    Ebu jaribu kusoma labda utajionea huruma na kuwahurumia wale wanaoteseka katika nchi hii ya Tanzania

    Kadono sisi watanzania sio wajinga rekebisha hiyo kauli sasa sema 'wapumbavu' kwa sababu tunajifanya kuwa tunajua kumbe hatujui! tungekuwa wajinga tungeshaelimika na mfumo huu was wachache kufaidi rasilimali zetu ungekuwa historia. Tufikirie cha kufanya tuwatoe watu kenye huo upumbavu ili...
  13. T

    Kutoka NEC/Lumumba: John Magufuli kuchukua fomu ya kugombea Urais wa JMT

    Mafikiria hilo baraza la mawaziri Ukawa litakuwaje yaani Ccm sijui mtajificha wapi inabidi mje mtubu hamana jinsi!!!!
  14. T

    Kwa mahesabu haya, UKAWA mtatandikwa vibaya na CCM

    Kula Ccm wanafedha zetu nyingi sana ndio maana tulienda kuzipunguza wakati was kura za maoni na kampeni vilevile tutaendelea kuzila October 25 saa 4.00 asubuhi Ukawa tutakuwa tumeshawashikisha adabu!!!
Back
Top Bottom