Ndoa ngumu Sana MUNGU awasaidie Wana ndoa kwa kweli.
Wanaume Sijui tufanyaje maana unaweza mpa mwanamke kila kitu lakini bado asiridhike.
Hii kitu imeniathiri Hadi Mimi naogopa Sana [emoji24]
Kwanza kabisa nipende kuwapa pole wanajavi wote kwa changamoto ya corona na pole zaidi kwa waliopoteza ndugu zao.
Tuzidi kumwomba mwenyezi MUNGU na kuchukua tahadhari Inshallah tutavuka salama.
Leo napenda kuleta mrejesho wa thread yangu ya week kadhaa zilizopita niliyoiandika hapa hapa yenye...
Labda tumetofautiana huyu ni rafiki yangu zaidi ya ndugu tumetoka mbali Sana ndio Maana naumia Sana mpaka naomba ushauri zaidi means nashindwa kulibeba kimya kimya.
Habari Wana jamvi,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.
Nina rafiki yangu ambaye ni Kama ndugu yangu kwa jinsi tunavyoishi na kusaidiana once changamoto za kimaisha zinapo arise.
Nimeishi vizuri Sana na huyu rafiki yangu tena kwa ukaribu Sana tukiwa mtaa mmoja. lakini kwa Sasa tupo mbali kwa...
tiencorrector@gmail.com
Maana ya kuweka Email address kwanza ndio muongozo tuliopewa hapa Jf.
Pili, mtu mpaka atulie na kuandika email inamuongezea sifa kuwa yupo kiasi seriously na hii Ina apply hata kwenye tasisi Kama kipimo kwa waombaji [emoji2][emoji2]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.