Nilikuwa napata boom kwa kusoma shahada ya elimu lakini nililitumia kusoma electronics, computerised accounting, networking na computer maintenance. Nahisi shahada ya elimu niliyonayo niliiongezea thamani.
Walimu hata huku Katavi wengi haturidhishwi na utendaji wa cwt hivyo may 2025 tulijaza form kujitoa cwt na kujiunga na chakamwata. Danadana katika ofisi za utumishi zinakera. Mara mtandao hakuna, mara hatuna password mara subirini kdg mara subirini mwezi ujao. Kimsingi hata mtoto huwezi...
Niliachiwa watoto na mke mtafuta Hela. Watoto hawakuwa wanapenda kula Hadi ufoke au tuwape zawadi ili wale. Njia niliyotumia
1. Kwanza wapatishe njaa no bites, no juice, no kutafuna chochote
2. Wape kazi Fulani ili walichokula kiyeyuke mfano wafagie, wang'oe majani au wakimbie riadha.
3. Kisha...
Tanzania ni Nchi yenye neema nyingi na Kila namna. Neema zetu kiroho, kimwili, kijamii na kiuchumi zinaifanya Tanzania kuwa kama mtoto aliyezaliwa akiwa na hamu ya Nini kinafuata.
Kunyonya kwa mama kunaamsha matamanio ya kesho yenye kicheko. Watanzania ni watu wenye matumaini ya kesho nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.