Recent content by Tichaj

  1. T

    Naombeni msaada wa mawazo mwanangu hapendi Kula

    Niliachiwa watoto na mke mtafuta Hela. Watoto hawakuwa wanapenda kula Hadi ufoke au tuwape zawadi ili wale. Njia niliyotumia 1. Kwanza wapatishe njaa no bites, no juice, no kutafuna chochote 2. Wape kazi Fulani ili walichokula kiyeyuke mfano wafagie, wang'oe majani au wakimbie riadha. 3. Kisha...
  2. T

    SoC04 Nchi yangu, Maisha yangu

    Tanzania ni Nchi yenye neema nyingi na Kila namna. Neema zetu kiroho, kimwili, kijamii na kiuchumi zinaifanya Tanzania kuwa kama mtoto aliyezaliwa akiwa na hamu ya Nini kinafuata. Kunyonya kwa mama kunaamsha matamanio ya kesho yenye kicheko. Watanzania ni watu wenye matumaini ya kesho nzuri...
Back
Top Bottom