Niliachiwa watoto na mke mtafuta Hela. Watoto hawakuwa wanapenda kula Hadi ufoke au tuwape zawadi ili wale. Njia niliyotumia
1. Kwanza wapatishe njaa no bites, no juice, no kutafuna chochote
2. Wape kazi Fulani ili walichokula kiyeyuke mfano wafagie, wang'oe majani au wakimbie riadha.
3. Kisha...
Tanzania ni Nchi yenye neema nyingi na Kila namna. Neema zetu kiroho, kimwili, kijamii na kiuchumi zinaifanya Tanzania kuwa kama mtoto aliyezaliwa akiwa na hamu ya Nini kinafuata.
Kunyonya kwa mama kunaamsha matamanio ya kesho yenye kicheko. Watanzania ni watu wenye matumaini ya kesho nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.