Inaonekana we ndo walichokulogea unaombea uchaguzi ufike il upate hiyo chumvi na tishet.. ndo mana unaoshadadia hiyo sisimizi yako.. sory sisiem..
Kwa taarifa yko huu ndo mwaka wenu wa mwisho...
Pipozi.......
mi naona kuna haja ya hii elimu ya udereva kuwa kama elimu nyingine... kuwe na certificate.. diploma.. degree.. masterz na phd ...up proffesor..
Labda itapunguza ajali kwa mtazamo wa serikali..
Kweli serikali yetu inawayawaya... madereva wakasome mara ngapi... dereva mpaka unamptia leseni tena class ya kusafirisha abiria.. iweje umwambie tena kila baada ya miaka mitatu akasome..
Mi naona tatizo lipo kwenye utoaji leseni.. kwan madereva wengi wanapewa leseni kupitia mlango wa nyuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.