Hilo ni dua la kukuu...Huyu Nepi ndiye atakayepasuka siyo CDM. kijana anapata shida sana huyu utafikiri kuku anayetafuta mahali pa kutagia mayai. Hata Headline sasa anatengeneza yeye na kuamuru iandikiwe...Peoplessssssss!!!!!!!!!!!!!
POLENI WANACHADEMA na watanzania wote kwa kumpoteza Mzee Bob Makani. Naamini kifo chake kimeacha chachu itakayowaamsha wapenda mabadiliko wote na hasa vijana kutoka katika usingizi na naamini pia msiba huu utawapa moyo wa kupigana bila kurudi nyuma dhidi ya udhalimu wa serikali ya CCM. Mzee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.