Namshukuru Mungu nimeajiriwa na Ngo na maisha yanaenda sasa, mshahara wa huko ni mdogo saana japo nilikua na upigania ila kuna kaumasikini huko kwa walimu, ngo niliyopo inahusiana na maswala ya elimu napita huko vijijini naona
Namshukuru Mungu nimeajiriwa na Ngo na maisha yanaenda sasa, mshahara wa huko ni mdogo saana japo nilikua na upigania ila kuna kaumasikini huko kwa walimu, ngo niliyopo inahusiana na maswala ya elimu napita huko vijijini naona
Baada ya kuomba mara sita za mwanzo na kukosa niseme tu hakuna namna nitapata wakati huu hivyo kila la kheri kwa mtakao omba, ila kuna ka umasikini fulani hivi tunajiwekea tukikimbilia kwenye ualimu mkijiongeza mtanielewa mi ni mwalimu nisie fundisha sasa
Kwenye dirisha moja huwezi kufanyia usajili jina moja mara mbili yaani ummpe leseni mchezaji na kabla ya dirisha hilohilo kufungwa umtoe...kwa kahata na chikwende, kahata alisajiliwa dirisha kubwa akaja kutolewa kwenye dirisha dogo ila akacheza kimataifa tuu..dirisha moja kufanya sajili za...
Kipindi kile caf walitoa sheria maalumu ya kusajili wachezaji wa ziada kwa timu ziluzoingia hatua ya makundi kwa sababu za covid...ilikue ni sheria ya mpito tu na simba ilisajili waxhezaji zaidi ya 13 wengine hawakucheza hata mechi koja lakini waliosajoliwa kwenye ligi walikua ni 10 tu kama...
Kati ya cheti chako cha shule na nida ni kipi kinakua cha kwanza na validy kwenye utambulisho wako? Swali hilo ukilipatia jibu utaelewa kwanini nida ni muhimu maana ina cheti chako na cha mzazi/wazazi vya kuzaliwa so its your first identinty. Na nida jamani ilianza rasmi 2010 kaka sikosei...
Bwana hawa jamaa hatuwawezi timu yetu nzuri ila hata sielewi imekuaje...tumecheza vizuri ila inakuaje yanga awe na mayele sisi tumeshindwa kumpa hela aje kwetu
Subirieni bunge..mtaalikwa. caf unaalikwa kwa sababu maalumu..na linapokuja swala la caf yanga hana tofauti na iefu fc.. sasa hao wote waalikwe kwenye mkutano mkuu wa wanachama na viongozi wa caf si utakua uswahili..simba alialikwa kwa mualiko maalumu..mkutano ni wa mashirikisho ya mpira kikanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.