Recent content by thirteen06

  1. thirteen06

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una ushuhuda gani kuhusu suluhu la matatizo ya uzazi kupitia waganga wakiengeji

    kabisa,, hii nayo ni changamoto mkuu
  2. thirteen06

    JamiiForums Tanzania Cristiano Ronaldo amvisha Pete ya uchumba mpenzi wake Georgina baada ya miaka 9 ya kuwa pamoja

    Jibu zuri sana, lakini pia kataa ndoa nao wameongezeka. Kupata mwenza nowadays ni bahati.
  3. thirteen06

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una ushuhuda gani kuhusu suluhu la matatizo ya uzazi kupitia waganga wakiengeji

    Hujaelewa wap bosi, so tulazimishe iwe hivyo?
  4. thirteen06

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una ushuhuda gani kuhusu suluhu la matatizo ya uzazi kupitia waganga wakiengeji

    Unapoenda kwa mtaalam, unajuaje kama ni mitishamba au mganga kienyej mkuu
  5. thirteen06

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una ushuhuda gani kuhusu suluhu la matatizo ya uzazi kupitia waganga wakiengeji

    Hapa kinachochukuliwa ni advice tu.
  6. thirteen06

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una ushuhuda gani kuhusu suluhu la matatizo ya uzazi kupitia waganga wakiengeji

    Sperm analysis, HSG vyote vilifanyika, vipo sawa vyote, zaidi mwanamke alipewa dawa za kurekebisha menstral period kwakuwa zinavurugika wakati mwingine lakini bado.
  7. thirteen06

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una ushuhuda gani kuhusu suluhu la matatizo ya uzazi kupitia waganga wakiengeji

    Ni rafiki yangu wa karibu, Walishaenda kwenye vipimo, na ikanekana hawana shida yoyote, rhesus factor Haina shida.
  8. thirteen06

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una ushuhuda gani kuhusu suluhu la matatizo ya uzazi kupitia waganga wakiengeji

    Unaweza pita sehemu nyingi kwa ajili ya kupata suluhu juu ya matatizo/changamoto za uzazi na mwanamke kushindwa kushika ujauzito. Ushauri mbali mbali nao unaweza kuupata kupitia watu mbali mbali ikiwemo kwenda kwa waganga wa kienyeji- (unaweza tumia gharama nyingi hapa) ikihisiwa kuwa Kuna...
  9. thirteen06

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usioe au kukaa na binti bila kumpiga radar wengi ni mapilot na wachawi sugu

    Ulitumia jitihada kubwa kumuacha? Uligundua maana ya hizo chale?
  10. thirteen06

    JamiiForums Tanzania Ukiwa kama mstaafu, au mzoefu kazini, shauri au toa mbinu mbalimbali zinazofaa kwa mtumishi hasa wa local government azitumie ili afanikiwe kiuchumi

    Ushauri huu ni muhimu sana, kwani wengi hushindwa kuwa wavumilivu na kutolewa kwenye malengo waliyojiwekea pale wanapoingia katika mtego wa kuiga Ili wafanane na wengine kwa vitu kama vile magari, nyumba nk.
  11. thirteen06

    JamiiForums Tanzania Ukiwa kama mstaafu, au mzoefu kazini, shauri au toa mbinu mbalimbali zinazofaa kwa mtumishi hasa wa local government azitumie ili afanikiwe kiuchumi

    Nice,, Ujumbe umeeleweka sana. Labda kama utaelezea kidogo kwanini ajikite kwenye huduma na sio biashara
  12. thirteen06

    JamiiForums Tanzania Ukiwa kama mstaafu, au mzoefu kazini, shauri au toa mbinu mbalimbali zinazofaa kwa mtumishi hasa wa local government azitumie ili afanikiwe kiuchumi

    Vijana wanaoanza kazi, ajira mara nyingi nimekuwa nikiwaona wanapitia changamoto nyingi katika mazingira ya ugenini huku wakiugulia maumivu mbalimbali kutokana na kipato kidogo wanachopata wakati huo huo wakiwa hawawezi kukwepa kutoa msaada kwa ndugu zao wa karibu ambao mara nyingi ndio...
  13. thirteen06

    JamiiForums Tanzania Codes za Kuweza kuwa na utimamu katika mambo yote, amani na ule utulivu ndani na wa kweli?

    🤣 Ikatae hiyo tabia mkuu, unajua ni Tanzania tu ndio IPO.
Back
Top Bottom