Nazani ujui nguvu ya mitandao -this guy is another tz government thread na inabidi ufahamu huyu ni mwandishi wa habari ambaye alikuwa mwiba kwa hii serikali kwa kuibua madudu
Nchi imegawanyika kaka robo tatu ya watumishi wa serikali wapo agaist government
Jiulize ni nani anayetoa siri za kuteswa kwa kina sugu gerezani.
Theluthi tu ndio wanaoonja mema ya mfalme jua.
Jua pale watu zaidi ya watatu wanapokutana na kuandaa uovu jua mmoja ni msaliti
Trust me
Ukiona damu ya watanzania inamwagika jua ni viongozi wa CCM na vibaraka wao kwenye vyombo vya usalama ndio wamesababisha na si upinzania wala wanaopigania reformation katika inchi hii kwa amani
Alijifanya mjuaji so akutii alicho ambiwa akaoneshwa kuwa ameingia nchi nyingine yenye sheria zake ambazo si rahisi kuzipindisha kwa aibu wamepeleka china kujiuguza
Huyo makonda hajakoma
Alijifanya yeye ndio kila kitu na sehemu yeyote anaingia but kilichompata pale lugalo jeshini wakati wa kuaga wale mashujaa wetu nazani amekisahau hadi wakamkimbizia china kwa matibabu ipo siku watampiga risasi kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.