Hata kama kuna mapungufu katika mchakato mzima wa kuwapata hao wabunge ile kauli haikustahili kutolewa, kama tutaanza kutafta huyu kapatikanaje tutajikuta hatufanyi chochote kwani hata hao tunaowapigia kura tunafanya kuletewa tuu. je wao tunajua upatikanaji wao ni halali?. Ukiona komedi za kina...
Si kwamba amefungiwa sababu ya chura, hajakamilisha taratibu za kuweza kufanya kazi kama msanii. kwa kifupi hatambuliki ila tu akikamilisha anaruhusiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.