Haya tena wadau, La mgambo likilia lina jambo,
East Africa Business & Media Training Institute ikishirikiana na East Africa School of Journalism and Broadcasting, inakuletea mdahalo wa Bunge la Katiba na Tanzania Tunayoitaka, utakaofanyika katika hotel ya Serena, Dar es Salaam ukumbi wa...
Kombo:-
Ni kweli maadili ya baadhi ya viongozi inanyooshewa kidole, na rasimu inaonekana inaweza kukidhi kwa kiwango fulani.
lakini hakuna vifungu vinazuia wabunge hata wakitamani kuvibadilisha wasijaribu.
iwe ni lazima kwa viongozi wa umma kuitii katiba.
ibara ya 20:2 kiongongozi wa uma...
Kombo:-
sheria yoyote ambayo haijapingwa mahakamani na kupata tafsiri ya ubatili, itabakia kuwa sheria halali.
changamoto za wingi wa wabunge kuathiri mchakato wa upitishaji wa katiba husika.
Stola:-
kazi ya kutunga katiba ya nchi ni kazi ya bunge maalum la katiba, kazi ya bunge la kawaida ni kutunga sheria.
wabunge wameapa kuitii katiba ya zamani ikiwa ni sehemu ya utendaji wa kazi zao ambazo ni pamoja na kutunga sheria ya kuandika katiba mpya.
Kombo:-
katiba ni kitu muhimu sana. ni nyaraka inayopaswa kuheshimiwa sana, historia ya katiba zilizopita ni zao la viongozi wa juu, lakini sasa tumepata bahati ya kwamba lile neno "sisi watanzania" tutalifanyia kazi.
Stola:-
ni kweli kuwa katiba ni waraka wa kisiasa, lakini katiba si ya wanasiasa, ananukuu katiba "sisi watanzania" hakuna sisi wanasiasa.
viongozi huwekwa madarakani na wananchi ili kuongoza kwa kufuata makubaliano ya wananchi (katiba)
Leo tena wadau wa siasa tupo Serena hotel mdahalo kujadili rasimu ya katiba mpya. Mdahalo karibu utaanza angalia ITV ama fuatilia kwenye jf washiriki Masoud Kombo,raisi wa chama cha wanasheria Zanzibar na wakili msomi. Francis Stola rais wa chama cha wanasheria Tanganyika na wakili wa mahakama...
Wadau,
Ni matumaini yetu kuwa mnaendela vyema na majukumu yenu katika ujenzi wa taifa letu, Tunapenda kuwafahamisha kuwa Jumapili tarehe 10/11/2013 ni muendelezo wa mdahalo wa rasimu ya katiba mpya tangazo limeambatabishwa hapa kwa maelezo zaidi.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.