Recent content by theTanzanianDream

  1. theTanzanianDream

    Programmers tujadili hapa

    nimekuja kuona thread very late....ila nimejichallenge kujifunza programming mwenyewe...natamani watu nikutane na wenye malengo kama yangu begginers wenzangu
  2. theTanzanianDream

    Kilimo, soko na faida za Uyoga

    Sasa mkuu kipi rahisi, kupiga hizo 14mil a month au kuwashawishi watu waingine semina za 60000tsh..
  3. theTanzanianDream

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    This another hopeless comment..sasa kukutajia majina ya wanafunzi 18000 kunakusaidia nini wewe..kama lengo lako ni kutafuta ukweli follow link hii utaupata, The Mango Tree - Tanzaniakama lengo lako ni ushindani usio na tija endelea kutaka utajiwe majina ya wanafunz 18000
  4. theTanzanianDream

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    Kha[emoji15]!..Kwani mango tree ilikua inaoperate kwa kuwasaidia wanachadema?! ..taasisi imeoperate muda mrefu tu hata kabla ya kuimarika kwa upunzani kyela,kama kweli alizuiliwa kwa nia njema au kweli taasisi inaweza kuendeshwa bila yeye mbona baada ya zuio lake taasisi imeshindwa...
  5. theTanzanianDream

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    Hii ndo barua ilitumwa kwake kumpa zuio ambayo hata walipoulizwa kwa nn kumetokea zuio walishindwa kusema sababu wanabaki tu na hicho kigezo cha "undesirable"
  6. theTanzanianDream

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    j Hii ndo barua aliyopokea ambayo hadi waziri wa m.ndani alisema kuwa kiukweli haina mantik japo hana uwezo wa kuitengua
  7. theTanzanianDream

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    Alafu nahisi wanaotakiwa kuwa na facts kuhusu thread hii ni wakazi wa kyela au wale waliobahatka kusoma kyela na wakakutana na misaada iliyotolewa na TMT kipnd hicho..mzee mwenyewe alikua anakuja mara mbili tu kwa mwaka tz..na waliokuwa wanapokea misaada hiyo walikua sio tu wale waliokuwa...
  8. theTanzanianDream

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    "Mtu hawezi kukataliwa kuingia nchini bila sababu" basi hiyo statement unaamini imeshamaliza kila kitu yani..hufukirii kuwa wanaofanya maamuzi hayo ni wanadamu..hufikirii kuwa inawezekana wakafanya zuio lisilo na sababu za msingi za haki lakini zikawa ni sababu za kimaslah binafsi.
  9. theTanzanianDream

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    Afafhali uliyemquote kidogo anaonekana kama anazungumza kwa kutumia akili..you sound childish bro , no offense..
  10. theTanzanianDream

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    Barua yake haionyeshi kosa..haijaspecify kosa, mpaka waziri wa mambo ya ndani alipoongea nae face to face alikiti kuwa mfadhili hakutenda kosa lolote, ila akasema tu "swala la kutengua zuio lako lipo juu ya uwezo wangu " japo zuio lako ni wazi kuwa halima sababu za msingi..
  11. theTanzanianDream

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    Bado vikwazo anavyowekewa na masharti anayowekewa ni magumu ..he is working very hard kusolve ishu hii imefika kipind mpaka inabidi aanze tafuta chances za kuongea na viongoz wa juu face to face badala ya barua...
Back
Top Bottom