Recent content by therealjoh

  1. therealjoh

    Ni wapi naweza nunua Packaging Boxes?

    0719 256 515 mcheki huyu jamaa,anaweza kuwa msaada kwako.
  2. therealjoh

    Plot4Sale Mashamba ya miti (Iringa)aina ya Cypress na piner yanauzwa

    Pia kama unapiga fire line kubwa kiasi na kwa wakati kuzuia moto usivuke kwenye mashamba yako utakuwa umedhibiti moto kwa kiwango kikubwa. Tamaza mfano huu[emoji116]
  3. therealjoh

    Plot4Sale Mashamba ya miti (Iringa)aina ya Cypress na piner yanauzwa

    Hakuna uwekezaji usio na changamoto ndiyo maana binadamu alikaa chini kuleta vitu kama bima. Tuendelee kujifunza maana ya uwekezaji.
  4. therealjoh

    Plot4Sale Mashamba ya miti (Iringa)aina ya Cypress na piner yanauzwa

    Hapana boss. Karibu kwa biashara.
  5. therealjoh

    Plot4Sale Mashamba ya miti (Iringa)aina ya Cypress na piner yanauzwa

    Mashamba ya miti zaidi ya ekari 50 yaliyo mkoani Iringa-mafinga yanauzwa. Miti ipo kati ya umri wa miaka 6-10 kulingana na shamba husika. Bei ya shamba inauzwa kwa ekari/zima kulingana na shamba husika na umri wa miti iliyo ndani ya shamba husika. Shamba la ekari 7 miti ina miaka 7 bei...
  6. therealjoh

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Pia kabla ya kuzungumza kitu jitahidi ufanye research kidogo. Jitahidi kujua mashine ni za wapi (manufacturer/made in),kwa kukusaidia tu ndugu hizo sio mashine za kuchonga ambazo nadhani ndizo ulizozizoea. Pia mimi sio dalali. Usikariri bidhaa kwa kuiona tu,jitahidi kujua ubora wa bidhaa kabla...
  7. therealjoh

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Kwa fundi seremala au anaeshughulika na masuala ya mbao,ninauza mashine (used). Ipo mashine ya kuchana mbao,imported msumemo hadi inch 26(ina uwezo wa kuzalisha magogo). Bei ya mashine ni milioni 8. Ipo mashine ya kutobolea madirisha ya mbao (drill). Bei ya mashine ni milioni 2. Ipo mashine...
  8. therealjoh

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Inauzwa mashine ya kuranda,WadKins planer inch 28(upana). Mashine ipo Dar es salaam-Temeke Mashine ipo katika hali nzuri kabisa Bei ya mashine ni milioni 11 Mawasiliano 0688 055 606/PM Karibu sana.
  9. therealjoh

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Inauzwa mashine ya kutobolea madirisha ya mbao (drill). Mashine ipo Dar es salaam-Temeke Bei ya mashine ni milioni 2 Mawasiliano 0688 055 606/PM Karibu sana
  10. therealjoh

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Inauzwa mashine ya kuchana mbao,imported msumemo hadi inch 26(inauwezo wa kuzalisha magogo). Bei ni milioni 8. Mashine ipo Dar es salaam-Temeke Mawasiliano 0688 055 606./PM Karibu sana.
  11. therealjoh

    INAUZWA Mashine ya mbao inauzwa

    Mashine ya kutobolea madirisha inauzwa. Mashine ipo Dar es salaam-Temeke Mawasiliano piga/sms/WhatsApp 0688 055 606 Bei ya mashine ni milioni 2 . Karibu sana.
  12. therealjoh

    INAUZWA Mashine ya mbao inauzwa

    Mashine ya mbao inauzwa Wadkins planer inch 28(upana) Mashine ipo Dar es salaam-Temeke Kwa mawasiliano piga/sms/WhatsApp 0688 055 606 Bei ya mashine ni milioni 11.
  13. therealjoh

    INAUZWA Mashine ya mbao inauzwa

    Habari, Inauzwa mashine ya kuchana mbao,imported msumemo hadi inch 26(inauwezo wa kuzalisha magogo). Mashine ipo Dar es salaam-Temeke Piga/sms/WhatsApp 0688 055 606 Bei ya mashine ni Milioni 8. Karibu sana.
  14. therealjoh

    Zanzibar Best Spice & Herbs Products

    Shukurani na karibuni sana upate bidhaa zilizo na ubora.
Back
Top Bottom