Mimi naikumbuka Dodoma ya miaka ya 60 hadi 70 tulikuwa na mitaa ya kizota,Kikuyu,mlezi,makole,maili mbili,chamwino,majengo,bairoad,hazina,mkalama,mjimpya,chang'ombe,Barbara ya 7, Mackay house,soko mjinga (ilipo Nyerere square),mazengo,zuzu na miaka hiyo town tulikuwa tunajuana karibu...