Recent content by Theophil Mlungwa

  1. T

    Kinachomponza Prof. Palamagamba J.A.M.Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

    Maneno mengi ya nini?Twambie Kibudu ni Mpumbavu au sio Mpumbavu
  2. T

    Spika Ndugai aishangaa serikali kusitisha ujenzi Bandari Bagamoyo

    Amekuwa huru kuliko uhuru wenyewe, hongera kama amemaanisha alichokisema maana hawa watu sio wakuwaamini.
  3. T

    Mwakyembe: Marufuku kumuliza Azory Gwanda alipo. Mbona viongozi wa Serikali hamuwaulizii? Waliokashifiwa na gazeti la Tanzanite waende Mahakamani

    Waziri ameshindwa kuunganisha kauli ya Rais alipolizungumzia swala la Mo, aliposema watanzania sio wajinga.Hivi Mo alivyopotea kihuni kama vile alitaka tukae kimya?Msomi wa sheria kama Mwakyembe kusema watu waache kuzungumzia swala la Azory nadhani ameteleza kwa maoni yangu.Leo kapotea...
  4. T

    Kheri James: Kama tumejipaka masizi, asilaumiwe CAG

    Ametumwa kuweni makini naye Sent using Jamii Forums mobile app
  5. T

    Sishauri Forker 50 na Forker 28 ziwe 'Branded' kama Ndege za Kibiashara za ATCL

    Simshangai,unajua kwa kuwa yeye kwenye harusi yake alikunywa soda,anadhani maisha yapo hivyo.
  6. T

    Ikulu ifafanue kauli ya Rais Magufuli kuhusu uzazi wa mpango, maana tayari imepotoshwa

    Hakukataa mpango per se,unapambana kujenga hoja isiyo jengeka.
  7. T

    Arumeru: Jerry Muro awaambia wananchi kama hawataki kufuata sheria na kanuni za nchi basi wahame nchi

    Hahahaha wanapambana kupata front pages Sent using Jamii Forums mobile app
  8. T

    TCRA, mtafuteni aliyechomekea picha hii ashitakiwe kwa upotoshaji!. Watu wataaibika na kuonekana hawana maana!.

    Kwani aliyesema walimu wanahitaji Masofa ni nani? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. T

    Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

    Huyu rafiki yako ni kilazi wa maisha. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom