Huwezi kutumia post graduate diploma kwenda LAW SCHOOL, ni lazima Uwe na degree ya kwanza. Hayo ni matakwa ya kisheria. Soma The Law School of Tanzania Act.
nikweli kabisa wanafunzi waliotokea saint saint wana disco sana vyuoni. Nafikiri wanadhani chuo ni kuongea kiingereza, nimewashuhudia mwenyewe. Wanafunzi wa shule za kawaida wanajituma na wanafanya vzr.
Hivi kwanini hao wanafunzi wanao toka shule hizo za sant sant wakifika vyuo vikuu wanadisco tuu au wanashindwa kabisa wakati wanakuja na division one kariii?? Na kingereza kama cha ulaya!! Chuoni naona wanaofanya vzr niwale wanaotokea shule za kawaida kabisa na wanajua nini wanafanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.