Hata Nelson Mandela alishawahi kuulizwa kama yeye ni mtakatifu na alisema “I am not a saint, unless you think of a saint as a sinner who keeps on trying.” Atleast Polepole is trying, maana wachache wamepaza sauti….
Nawasabahi wote. Yaliyotokea Air India majuzi kupoteza watu zaidi ya mia mbili ni catastrophic ni jambo la kusikitisha na ingawa bado uchunguzi unaendelea tujikumbushe Ethiopia Airlines walikumbwa na ajali 2019 na ilikuwa pia ndege ya Boeing 737 MAX 8. Na chanzo ilikuwa MCAS ambayo ni aircraft...
Tatizo our own people give excuses to defend mediocrity, kwamba ni sawa kuwa substandard or to receive poor quality service, na ukiwa wa tofauti upaze sauti ni fitna.... When this changes we will have full emancipation as citizens with dignity.
Soma vizuri nimeelezea. BTW hapa nilipo again the have outdone themselves delayed flight. Hata foreigners waliyokuwa silent are not happy. In a span of 4 trips I have taken in 1 month ALL THEIR FLIGHTS DELAYED.
Anayetoa vibali ili ndege ziwe registered na kuruka achunguze Precision Air.
Precision gharama zao ziko juu, wahudumu hawana msaada na ndege zao hata siku moja haziheshimu muda.
Wapewe ultimatum. Hawafai na hawana professionalism.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.