Heshima kwenu Wakuu wa JF popote mlipo.
Mimi ni mmoja wa wanafunzi waliohama chuo kimoja kwenda kingine katika mwaka wa masomo 2014/2015 lakini mpaka sasa ni semister ya pili sijapata mkopo,kiukweli maisha yangu yanazidi kua magumu hapa chuoni kila kuitwapo leo.
Wana JF kwa yeyeto mwenye...
kweli mkuu mi nipo chuo xaiv sijapata bumu tokea nianze chuo mwezi wa 10 mwaka jana ila naendesha life la school kwa kazi hii.Kinachotakiwa ni umakini tu
Halaf hii option ya both teams to score ni nzuri xana endapo utazichunguza timu unazotaka kuplace bet yako.Leo nimecheki 4 the 1st time nikaselect timu nne ambapo total odds ilikua ni 11.8 kama zali vile nikamnyorosha mhindi ila najuta coz niliweka stake ndogo xana(2000) ila atleast imeongeza...
Hii ndo bongo xaxa shule miaka yote unachukuaga wastani Wa wanafinzi 30 Tu,mwaka huu mnapeleka 237 huku hamjaboresha chochote mnategemea nn? Walimu hawatoshi,madarasa ndo hivyo tena,du kweli hiyo ndo #BRN
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.