Recent content by Thelionden

  1. Thelionden

    Naomba shauri wa kumiliki gari ndogo

    Sprinter 5A haina tofauti na Carina 5A, ila Carina inakupa option ya space kubwa kwa ndani hasa siti za abiria tofauti na sprinter wanao sema hizi gari ni za zamani kwetu huku vijijini bado zina tufaa sana tofauti na gari mpya mpya hizi, chukua chuma hiyo pia soko lake halijashuka hata ukiisha...
  2. Thelionden

    Watu hawataki kutembeleana siku hizi, kila mmoja yuko bize kusaka shilingi

    Hata wale wachache waliokuwa na upendo sasa wanazidiwa na hili kundi jingine.
  3. Thelionden

    Watu hawataki kutembeleana siku hizi, kila mmoja yuko bize kusaka shilingi

    Ni kushuka kwa upendo na hii ni unabii, mkuu maana yote tunanayaona kushuka kwa upendo kuna endana na kukua kwa technology nyakati hizi za mwisho na hali itakuwa mbaya sana siku za mbeleni.
  4. Thelionden

    Watu hawataki kutembeleana siku hizi, kila mmoja yuko bize kusaka shilingi

    Biblia imesema nyakati za mwisho upendo wa watu utapoa na inaonekana katika hili kuna mazingira mengi yanayoweza kuchangia hali hii. Mimi niliwahi kuwa na hali fulani ya maisha ya kawaida tu ya mkate na chai nikapambana sana na ndugu na jamaa kila aliyekuja Mkoani hapa alifikia kwangu sasa...
  5. Thelionden

    Kwanini Toyota Carina TI ina BEI kuliko IST??

    Mkuu hizi chuma turbo yake sio sumbufu
  6. Thelionden

    Kipi kinafaa katika kuongezea ground clearence ya gari kati ya njia tajwa hapa chini?

    Kuna gari ziko chini sana kikubwa ni kuweza kuepusha uharibifu wa sehemu zingine kama bampa unapopita njia mbaya.
  7. Thelionden

    Kipi kinafaa katika kuongezea ground clearence ya gari kati ya njia tajwa hapa chini?

    Spacer ndio wajuzi wanasema inafanya gari kupoteza balance.
  8. Thelionden

    Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

    Jambo dogo sana hili mkuu kama ni mtu wa familia huwezi muacha mtoto akalelewe malezi mengine na mama au baba mwingine na huwezi muacha mkeo kizembe hivyo, pesa inasahaulika lipa Mali hiyo taratibu taratibu malizana na mzee kisha kimbilieni kwa Yesu mpate amani ya kweli lakini usiache familia...
  9. Thelionden

    Kipi kinafaa katika kuongezea ground clearence ya gari kati ya njia tajwa hapa chini?

    1. Kufunga Spencer 2. Kubadirishia coil spring na shock ups zenye height kubwa kidogo kuliko zile za awali? Wajuzi wa mambo njooni mtupe ABC kati ya njia hizi ni ipi inaweza isi athiri stability ya gari pamoja na vitu vingine kwenye gari?
  10. Thelionden

    Suala la dini litanikosesha ndoa. Naombeni ushauri

    Mama ana Mbingu ya kukupeleka?
  11. Thelionden

    Msaada wa chaguzi ipi ya gari ndogo ninunue?

    Allex, Runx, Premio, Allion, Ist, Spacio, Collora x na the likes.
Back
Top Bottom