Recent content by Theironbutterfly

  1. Theironbutterfly

    Hizi ndizo salamu za Mei mosi za Rais Samia kutoka Kenya

    Ukiwa mtumishi wa Umma hasa local government,halafu ukayaamini hayo,utakuwa zuzu,aliyeuziwa kichupa akaondoka anacheka akidhan ni dhahabu,Aliwahi sema hayati Julius Kambarage wakati Fulani.
  2. Theironbutterfly

    Sare za vyama mbali mbali vya wafanyakazi kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani - MEI MOSI 2024

    Binafsi naisubiria sare yangu hapa Wanasema dereva kazifata Ila nitaiweka kwenye mkoba nitaivaa eneo la tukio,siku husika
  3. Theironbutterfly

    Siyo ajabu Viongozi wa Dini kwenda kuwaombea Viongozi wa Serikali maofisini, Prof Malima na Meya KK walikuwa wanaombewa Sana!

    😂😂😂anaombewa daily,kunani?? Au roho za aliowakatisha uhai zinamjia usiku akilala?nightmares🤔
  4. Theironbutterfly

    Serikali ya Tanzania na Malawi waharakishe Kutatua suala la ziwa Nyasa

    Kwani tibaijuka hakumaliza huu mgogoro? Haya Jerry silaa,kijana mchapakazi kamalize hiyo ishu asap🤣🤣
  5. Theironbutterfly

    Ripoti 21 za CAG zatua Bungeni kwa ajili ya kuanza kujadiliwa

    I second you Business as usual
  6. Theironbutterfly

    Samaki, nyama, kuku na maharage kuliwa kama mboga ni dalilli ya umaskini?

    Hiyo kwa mtzed wa kawaida kuipata daily ngumu Halafu Kuna wale wa kula viporo washibe ndi ndi ndi Hawa hawataiweza hii
  7. Theironbutterfly

    Samaki, nyama, kuku na maharage kuliwa kama mboga ni dalilli ya umaskini?

    Uko sahihi Umasikinj umetamalaki Watu wanakula ili wasife😂😂 Sio kupata afya bora
  8. Theironbutterfly

    Vijana wa HALAIKI huwa wananufaika na kipi baada ya mafunzo na shughuli ya kiserikali kupita?

    Nashukuru Mungu shule za private aka mabasi ya njano hazishiriki huu upuuz,so uhakika wanangu hawawez shirikishwa huu utumbo👌
  9. Theironbutterfly

    Kwanini kawawa hajaenziwa kama sokoine?

    Si wanasema alikuwa hausiboi was Nyerere?🤣🤣Sasa unaweza muenzi hausiboi kweli?
  10. Theironbutterfly

    Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri

    Mange kapiga kwenye mshono Kashamjibu kuwa spana zinaendelea Hivi ishu ya saga koboa ni kweli??
Back
Top Bottom