Bunge la umoja wa ulaya kupitia kamati yake inayoshughurikia utoaji wa tuzo kwa watu mbalimbali duniani wanaopigania demokrasia,utawala bora na haki za binadamu,imeorodhesha jina la TUNDU LISU miongoni mwa wanao wania tuzo hiyo kwa mwaka 2026.
Akitoa taarifa hiyo McCalister kupitia kurasa zake...
Imagine makamu wa Rais anajiudhuru kihuni kihuni tu,kamasio uhuni ni nini?,baada ya kujiudhuru haieleweki yupo wapi, hajakabidhi ofisi,hajaonekana kizimkazi,huyu kimama ataishi kama digidigi na familia yake kama aabahatika kumaliza kipindi chake.
Mtu kama Wasira anasema wazi kabisa Nchimbi...
Professor PLO Lumumba left the stage at a Kisumu conference after being asked to pause his speech for the late arrival of Kisumu Governor Anyang’ Nyong’o.
The incident occurred during the 18th TICH Annual Scientific Congress at Mama Grace Onyango Social Hall, where Lumumba was speaking about...
Alishasema mwenye mtoto kpitia kurasa zake za mitandao ya kiamii kwamba huyu ndio mrithi wake,baada ya kuhitimu masomo yake uingereza,hili kalifanya hata Rostam,kwa sisi wenye shauku na GW tunafuatilia.
Hiyo mentality ni ngumu,mifano ni mingi,si kwamba eti wenye mabilioni wanaandaa utaratibu sio wote,mfano Rwakatare unasikia migogoro ya mali kwa watoto wake?,kuna jamaa yangu wanafuatilia mali za mzee wao zilizohujumiwa na ndugu na pesa bank zaidi ya 1B.
hoja ya msingi ni kwanini wenzetu wanaweza kuendeleza mali zao vizazi kwavizazi lakini sisi tupotupo tu kama mafala na imani za kikuda,katika hii dunia hakuna kitu cha thamani utakipata wa njia a kawaida hakuna lazima udambwidambwi uwepo lakini,tumefanya udambwidambwi tukapata sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.