Recent content by TheForgotten Genious

  1. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Kukosa Upendo: Chanzo cha Tabia na Mahusiano Magumu

    Nimekuwa mtu wakujitenga sanaaaa,na siamini watu kabisaaaaa
  2. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Utofauti wa ongezeko la thamani kati ya mwanamke na mwanaume

    chakushangaza unateseka kwa mtu anayeteseka na watu wasioteseka na jinsi walivyo
  3. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Kukosa Upendo: Chanzo cha Tabia na Mahusiano Magumu

    SIJUI KAMA NITAKUBALIANA NA HII HALI,KUKOSA UPENDO WA WAZAZI NI MTIHANI GUMU SANA NA MAUMIVU YAKE NI MAKALI SANA,UNAKUWA MTU MZIMA UNATEGEMEA UTAPATA MWENZA MWENYE UPENDO WA DHATI AKUFUTE MADONDA ILA NAYE ANAGEUKA KUWA IZRAEL MTOA ROHO,HANA HURUMA HATA KIDOGO.
  4. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Ubungo–Msewe bado tunanunua ndoo ya maji Sh 1,300 hadi 1,500

    kazi na utu,Tlaatlaah Takataka lenu limejazana tu pale chamwino na bichwa lake sifuri,maji tu yanamshinda,ataweza kudeal na magaidi?
  5. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Utofauti wa ongezeko la thamani kati ya mwanamke na mwanaume

    Ongezeko la thamani kati ya mwanamke na mwanaume ni kinyume chake kulingana na ongezeko la umri,Thamani ya mwanamke ina pungua kadri umri unavyozidi kuongezeka wakati thamani ya mwanaume inaongezeka kadri ya umri unavyoongezeka. Thamani ya mwanaume inazingatia sana ongezeko la uwezo wa...
  6. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Crdb wamekataa kunibadilishia hela chakavu nielekezeni pa kwenda

    deposit kwenye akaunti yako hapohapo ,halafu nenda katoe huko
  7. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania KERO Bronchoscopy MNH: Mashine imeharibika miezi 8, ufumbuzi?

    Hapo ukute inatakiwa aje injinia wa manufacturer kuirekebisha,na huyu wanamsafirisha wao na kugharamia kila kitu akiwa huku,na analipwa zaidi ya USD 100 kila siku
  8. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Naomba orodha za changamoto ulizowahi kukutana nazo wakati ukifuatilia huduma TRA

    Nimefanya hivyo kwa kupendekeza uwepo wa NATIONAL POS ambayo itahusisha block chain kuanzia kwa producer mpaka consumers,EFD au VFD systems ziwe intergrated na main proposed system za TRA,muuzaji akisha tengeneza invoice na kusave VAT itakuwa charges automatically na hesabu zitahifaziwa kwa kila...
  9. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wakubwa ni miongoni mwa wadau wanaochangia mataifa mengi kuwa na viongozi wa juu vilaza.

    Katika ulimwengu wa siasa kuna watu wanaitwa wazee wa mfumo,hili ni kundi la watu linalojumuisha wafanya biashara wakubwa katika taifa ,hapa kwetu mfano mzuri ni Rostam Aziz,Mohamed Dewdji,GSM,Kiziga,na wengineo. Sifa kuu ya hawa watu ni kuwezesha wanasiasa na chama cha siasa ili kishike dola...
  10. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Maofisa wa vyombo vya ulinzi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.

    Hawana sababu wakati sababu ni hizohizo kanuni na sheria,kwani si zimewekwa ili zifuatwe? hiyo ni sababu nambari one
Back
Top Bottom