Natibu kuwa mkimya kama hata kutafuta uthibitisho,You tube ilianza February 2005, Instagram na Facebook 2011.
Internet Ilikuwa lakini ni mpaka cafe au Kwa wenye laptop binafsi ambao walikuwa WA kuhesabu.
TEC hawajawahi kutoa matamko kipindi Cha mwalimu TU lakini baada ya hapo wamekemea sana,na...
Vyuo vyote Kwa sasa wameandaliwa watu maalumu Kwa ajili ya kuwaookea wanafunzi wanaojiunga mwaka wa kwanza,katika kupokelewa kwao wanaambiwa wasifuate mkumbo,wasiandamane,haya kama hawana ada wanamsajiri WA TU, diabolical.
Polisi wanapewa muda wa kuongea na wanagunzi wakiwaChimba mkwara VIjana...
I was been in the field and I survived 46 bullets,without being Victimized,or harmed in any way,I am stiff,strong and determined to face again,I am a Pure Pangwa and I embrace being.
Hatupambanii MtU,CHaMa AU Watu Bali Taifa huru,kama Kuna kiongozi wa kisiasa ambaye mnadhania tunampambania basi nafikiri ni kwa sababu anaangalau ya chembe ngumu za misimamo ya haki na usawa.
Ndugu zetu wanatekwa,na kuuawa,tukae kimya ?
Hii ni vita kayo ya wananchi na wanasiasa magubegube...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.