Recent content by TheForgotten Genious

  1. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Vyama 16 "Kuomba mkutano na Rais Samia", njia ya mkato kuelekea Maridhiano?

    Huo udaktari na kichwa maji aliupataje?
  2. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Hali ya usalama nchini inazidi kuwa tete

    Haiji kutulia Mpaka watakapooana kmharufu ya uozo inazidi kuongezeka,na larva wanasambaa. Na tutawapinga Kila siku,Kila sehemu.
  3. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ninachokiona: Serikali inaamini Mange Kimambi na wanaharakati wengine ndio tatizo

    Na nikitu ambacho hakiwezekani,na wanalijua hilo
  4. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania 2001 TEC ilikuwepo, je, walitoa matamko na press za mara kwa mara kama ilivyo mwaka huu?

    Natibu kuwa mkimya kama hata kutafuta uthibitisho,You tube ilianza February 2005, Instagram na Facebook 2011. Internet Ilikuwa lakini ni mpaka cafe au Kwa wenye laptop binafsi ambao walikuwa WA kuhesabu. TEC hawajawahi kutoa matamko kipindi Cha mwalimu TU lakini baada ya hapo wamekemea sana,na...
  5. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Hivi serikali inavyowashawishi na kuwabugudhi bodaboda kuhusu maandamano, inawamiliki?

    Kifo si kitu unaweza kumtisha MTU aliyeamua kuongelea Haki,kuishi Haki,na kutaka haki
  6. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Hivi serikali inavyowashawishi na kuwabugudhi bodaboda kuhusu maandamano, inawamiliki?

    Wanawaangalia usoni tu,wale waliotoka huko kantalamba na hawajuu smart phone ndio wakuwadanganya ,sio kijana wangu kasoma Iyunga boys
  7. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Hawa First year mnaowapokea Kwa utaratibu maalumu wametokea mtaani huko.

    Vyuo vyote Kwa sasa wameandaliwa watu maalumu Kwa ajili ya kuwaookea wanafunzi wanaojiunga mwaka wa kwanza,katika kupokelewa kwao wanaambiwa wasifuate mkumbo,wasiandamane,haya kama hawana ada wanamsajiri WA TU, diabolical. Polisi wanapewa muda wa kuongea na wanagunzi wakiwaChimba mkwara VIjana...
  8. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania DP World Ilivyozima dili chafu za TEC. Bandari ya Dar, hasira kwa Rais Samia

    Ni kama demu aliyegongwa wima ofisini Kwa boss wake
  9. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Unawaona wanaopost video hizo? Ni kwa ajili ya manufaa yao ya kisiasa lakini muda utakwenda na utasahaulika wakishapata wanachotaka! Jilinde

    I was been in the field and I survived 46 bullets,without being Victimized,or harmed in any way,I am stiff,strong and determined to face again,I am a Pure Pangwa and I embrace being.
  10. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kumbe yule mkuu wa kikosi Cha watekaji anaitumikia Rwanda toka mwaka 2007?

    Yule jamaa HATA majina Yale sio yake,alifanya kubambikwa akaingia Darasa la nne huko Bukoba
  11. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kumbe yule mkuu wa kikosi Cha watekaji anaitumikia Rwanda toka mwaka 2007?

    Maslahi,na rushwa ndio mchawi
  12. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kumbe yule mkuu wa kikosi Cha watekaji anaitumikia Rwanda toka mwaka 2007?

    Yule Yule ndio maana Familia yake Ipo SA miaka mingi huku yupo mwenyewe,
  13. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Unawaona wanaopost video hizo? Ni kwa ajili ya manufaa yao ya kisiasa lakini muda utakwenda na utasahaulika wakishapata wanachotaka! Jilinde

    Hatupambanii MtU,CHaMa AU Watu Bali Taifa huru,kama Kuna kiongozi wa kisiasa ambaye mnadhania tunampambania basi nafikiri ni kwa sababu anaangalau ya chembe ngumu za misimamo ya haki na usawa. Ndugu zetu wanatekwa,na kuuawa,tukae kimya ? Hii ni vita kayo ya wananchi na wanasiasa magubegube...
Back
Top Bottom