Recent content by TheForgotten Genious

  1. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Tundu Lisu kuwania Tuzo ya SHAKAROV(SHAKAROV PRIZE).

    Bunge la umoja wa ulaya kupitia kamati yake inayoshughurikia utoaji wa tuzo kwa watu mbalimbali duniani wanaopigania demokrasia,utawala bora na haki za binadamu,imeorodhesha jina la TUNDU LISU miongoni mwa wanao wania tuzo hiyo kwa mwaka 2026. Akitoa taarifa hiyo McCalister kupitia kurasa zake...
  2. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Nchi imeharibika sana hii,kila jambo linaenda kiholelaholela

    Imagine makamu wa Rais anajiudhuru kihuni kihuni tu,kamasio uhuni ni nini?,baada ya kujiudhuru haieleweki yupo wapi, hajakabidhi ofisi,hajaonekana kizimkazi,huyu kimama ataishi kama digidigi na familia yake kama aabahatika kumaliza kipindi chake. Mtu kama Wasira anasema wazi kabisa Nchimbi...
  3. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    Kuna pole kweli na pole kebehi,mimi hata mama yangu na mkataa pale anapokuwa upande wa udwanzi
  4. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    Nina BROTHER DC na sijui hata anaendeleaje huko last conversation was 2024 kama sikosei
  5. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    sio ktk kipindi hiki cha siasa za kise
  6. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Professor Lumumba left the stage after being asked to pause his speech

    Professor PLO Lumumba left the stage at a Kisumu conference after being asked to pause his speech for the late arrival of Kisumu Governor Anyang’ Nyong’o. The incident occurred during the 18th TICH Annual Scientific Congress at Mama Grace Onyango Social Hall, where Lumumba was speaking about...
  7. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    Kile chama kilichokuwa kinambna ni katiba,otherwise ingekuwa kama CUF
  8. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    swadakta
  9. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Mzee wakubadili gia angani

    Ni zamu ya mzee wa project za kisiasa:)
  10. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Shida ya mtu kuwa na madaraka makubwa kama malkia

    kazi sana
  11. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Shida ya mtu kuwa na madaraka makubwa kama malkia

    Wateule wanakuwa na hofu,unafiki muda wote ike this bastard
  12. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Namna wenzetu wanavyowaandaa watoto wao kuja kuwa wasimamizi wa biashara zao

    Alishasema mwenye mtoto kpitia kurasa zake za mitandao ya kiamii kwamba huyu ndio mrithi wake,baada ya kuhitimu masomo yake uingereza,hili kalifanya hata Rostam,kwa sisi wenye shauku na GW tunafuatilia.
  13. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Namna wenzetu wanavyowaandaa watoto wao kuja kuwa wasimamizi wa biashara zao

    Hiyo mentality ni ngumu,mifano ni mingi,si kwamba eti wenye mabilioni wanaandaa utaratibu sio wote,mfano Rwakatare unasikia migogoro ya mali kwa watoto wake?,kuna jamaa yangu wanafuatilia mali za mzee wao zilizohujumiwa na ndugu na pesa bank zaidi ya 1B.
  14. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Namna wenzetu wanavyowaandaa watoto wao kuja kuwa wasimamizi wa biashara zao

    hoja ya msingi ni kwanini wenzetu wanaweza kuendeleza mali zao vizazi kwavizazi lakini sisi tupotupo tu kama mafala na imani za kikuda,katika hii dunia hakuna kitu cha thamani utakipata wa njia a kawaida hakuna lazima udambwidambwi uwepo lakini,tumefanya udambwidambwi tukapata sio...
Back
Top Bottom