SIJUI KAMA NITAKUBALIANA NA HII HALI,KUKOSA UPENDO WA WAZAZI NI MTIHANI GUMU SANA NA MAUMIVU YAKE NI MAKALI SANA,UNAKUWA MTU MZIMA UNATEGEMEA UTAPATA MWENZA MWENYE UPENDO WA DHATI AKUFUTE MADONDA ILA NAYE ANAGEUKA KUWA IZRAEL MTOA ROHO,HANA HURUMA HATA KIDOGO.
Ongezeko la thamani kati ya mwanamke na mwanaume ni kinyume chake kulingana na ongezeko la umri,Thamani ya mwanamke ina pungua kadri umri unavyozidi kuongezeka wakati thamani ya mwanaume inaongezeka kadri ya umri unavyoongezeka.
Thamani ya mwanaume inazingatia sana ongezeko la uwezo wa...
Hapo ukute inatakiwa aje injinia wa manufacturer kuirekebisha,na huyu wanamsafirisha wao na kugharamia kila kitu akiwa huku,na analipwa zaidi ya USD 100 kila siku
Nimefanya hivyo kwa kupendekeza uwepo wa NATIONAL POS ambayo itahusisha block chain kuanzia kwa producer mpaka consumers,EFD au VFD systems ziwe intergrated na main proposed system za TRA,muuzaji akisha tengeneza invoice na kusave VAT itakuwa charges automatically na hesabu zitahifaziwa kwa kila...
Katika ulimwengu wa siasa kuna watu wanaitwa wazee wa mfumo,hili ni kundi la watu linalojumuisha wafanya biashara wakubwa katika taifa ,hapa kwetu mfano mzuri ni Rostam Aziz,Mohamed Dewdji,GSM,Kiziga,na wengineo.
Sifa kuu ya hawa watu ni kuwezesha wanasiasa na chama cha siasa ili kishike dola...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.