katika sekta zenye upungufu wa watu na maji ipo pia pale chuon wanatoa degree ya (water resource and irrigation engneering) ambayo ni kozi inayoitajika sana tanzania pia ni rahisi kujiajiri
ndio hostel ni za diploma kwa degree unaweza panga msewe kwa 50000 na zaidi kwa mwezi au riverside na mawasiliano kwa 40000 na zaidi kwa mwezi but mkataba ni kwa miezi sita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.