Salaam!
Miaka mingi sana sijaandika. Nipo busy ughaibuni. Lakini, leo nimelazimika kuandika ili kuwasihi.
Nikiwa huku nilipo napata wasaa mzuri wa kuona siasa za Tanzania na uelekeo wake kwa ujumla.
Tanzania inakwenda kubadilika kwa mara ya kwanza tangu ianzishwe. Mikononi mwa Rais Samia...
Wana MMU nawasalimu!
(hasa Madame B)
(naombeni nitumie uandishi wa ki fb)
Kuna she mmoja rafiki yangu sana ana bf wake anaefanya kazi kwenye taasisi kubwa sana hapa tz. Tatizo linaanzia hapa! Jamaa kapiga mzigo weeeeeee hadi kaukinai(mtazamo wangu huu plz usijihusishe na hisia zangu)...
mmhhmhhhmhhhh kweli tz ni nchi, au kijiwe? naomba kujuzwa! km mtu yeyote aliepo kwenye system naweza kufanya lolote atakalo, kweli hii ni nchi au kijinchi!
Heee jamani! mbona kama roho yangu inatakiwa! wewe Lady doctor ndio wakala nn? niambie unalenga nini tumalizane kwa hela, yann kumaliza kwa kutoana kucha na meno bure jamani? haya naimbie sasa hv ndg daktari!
Copy: Madame B nipe nafasi ila nihakikishie usalama kwanza, nasikia ni kama saccos hv! wengine wanausalama wengine sijui nani ili mradi ni watu wa sharishari hv!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.