Habari za humu?
Ninaombeni kuuliza kwa mwenye uzoefu na kuagiza vitu kutoka Ulaya au Marekani: hivi kwa sasa kodi ni kiasi gani mfano nikiagiza camera?
Na je ni kweli kwamba siku hizi hata ukija na kitu kipya kutoka nje hata kama ni kwa matumizi binafsi lazima wakulipishe kodi airport?
Mawazo...
Habari zenu wadau,
Kidogo nilikuwa nahitaji mchango wenu wadau kuhusu gharama za ujenzi kwa nyumba ya vyumba vitatu Dar es Salaam kwa kuzingatia bei za vifaa vya ujenzi kwa miaka ya karibuni. Bei hiyo isihusishe gharama za kiwanja.
NB: Kwa milioni 12 nyumba ya vyumba vitatu unaweza kuijenga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.