Recent content by TheBoyMe

  1. T

    JamiiForums Tanzania Kodi airport ni kiasi gani kwa sasa kwa bidhaa za nje?

    Ndio lakini si lazima iwepo pre-determined asilimia? Maana kama hiyo haipo kila mtoza kodi si ataamua akutoze kiasi gani? Au nakosea?
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kodi airport ni kiasi gani kwa sasa kwa bidhaa za nje?

    Habari za humu? Ninaombeni kuuliza kwa mwenye uzoefu na kuagiza vitu kutoka Ulaya au Marekani: hivi kwa sasa kodi ni kiasi gani mfano nikiagiza camera? Na je ni kweli kwamba siku hizi hata ukija na kitu kipya kutoka nje hata kama ni kwa matumizi binafsi lazima wakulipishe kodi airport? Mawazo...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Gharama za ujenzi

    Habari zenu wadau, Kidogo nilikuwa nahitaji mchango wenu wadau kuhusu gharama za ujenzi kwa nyumba ya vyumba vitatu Dar es Salaam kwa kuzingatia bei za vifaa vya ujenzi kwa miaka ya karibuni. Bei hiyo isihusishe gharama za kiwanja. NB: Kwa milioni 12 nyumba ya vyumba vitatu unaweza kuijenga na...
Back
Top Bottom