Recent content by The_Gooner14

  1. T

    Msaada: NIDA yangu imefungiwa

    Shukran sana mkuu, hii imenisaidia, nimeenda ofisi za Vodacom wamewasiliana na NIDA kujua tatizo nini, then wameifungua now ipo fresh. Ubarikiwe sana
  2. T

    Msaada: NIDA yangu imefungiwa

    Nida yangu mkuu inaonesha namba mbili tu nilizosajiri na ndio ninazo tumia. Now naenda ofisi zao nijue tatizo
  3. T

    Msaada: NIDA yangu imefungiwa

    Imeizuiliwa kusajiri line mpya
  4. T

    Msaada: NIDA yangu imefungiwa

    Nimekwenda sehemu wanaposajiri line, nilitaka kusajiri line ya halotel mhusika baada ya kuanza process mhusika akaniambia namba yangu ya nida imefungiwa hivyo siwezi sajiri line mpya
  5. T

    Msaada: NIDA yangu imefungiwa

    Habari. Jana nilikuwa nataka kusajiri line mpya ila imenigomea naambiwa namba ya NIDA imezuiliwa naomba msaada kwa mwenye uzoefu nifanye ili nida yangu ifunguliwe. Na ni mitandao miwili tu niliyosajiria nida yangu VODA NA AIRTEL
Back
Top Bottom