Huyo Sheshe alitumwa na Lowassa aje agombee uenyekiti wa chadema, alipopigwa chini baada ya kupata namba ya kiatu karudi nyumbani CCM kupitia wakala wao ACT
INTELIJENSIA ya CHADEMA yabaini mamluki Arumeru, walitaka kujipenyeza kwenye uchaguzi wa Jimbo wakashindwa.
Katika kile kinachoelezwa kuwa CCM na wakala wake ACT wanafanikiwa kukivuruga CHADEMA, intelijensia ya chama imekuja kubaini kuwa mbinu za CCM ni dhaifu, kiasi kwamba haihitaji cheti cha...
CDM walisema aliyerusha bomu tunamjua, na wakasema ni askari polisi aliyetumwa na ccm kutekeleza mauaji, bado wakasema wana mkanda wa video unaoonyesha jinsi polisi walivyohusika, na picha za mnato, lakini ajabu hakuna kiongozi yeyote wa chadema aliyeulizwa au kuhojiwa kwa namna yeyote ule...
Watu wetu waliuawa kwenye mlipuko wa bomu soweto, chadema wakaomba rais aunde tume huru ya kimahakama (judicial inquiry commission) kuchunguza tukio lile, chakushangaza siyo tu jk hajaunda tume, bali hata hakuna kiongozi yeyote wa chadema aliyehojiwa.
Tunajiuliza intelijensia ya usalama ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.