Recent content by the swaggaz boy

  1. the swaggaz boy

    Bei ya mbolea: Waziri Bashe amepotosha Bunge na kushangiliwa kwa kelele tu

    Vipi kuhusu hali ya dola dhidi ya tsh pia izingatiwe, pia ghalama za usafirishaji, wakati huo na sasa. Then leta uhalisia wa bei ya sasa kwa mlinganyo wa miaka hiyo miwili Ukishapata hivyo njoo sasa na hoja yako sasa.
  2. the swaggaz boy

    Kwa anavyotaka awe lilikuwa ni kosa kubwa mno kwa yeye kumchagua VP tuliyenaye awe msaidizi wake.

    Vp ni msikivu sana, na kama ukifuatilia hotuba zake kuna mambo alikua haendan na bosi wake mwendazake mf. Deni la taifa kukua, maisha kupanda. Rejea hotuba zake kwenye bunge.
  3. the swaggaz boy

    Ushindi wa Tanzania juu ya janga la Corona

    WHO wanatuambia kuwa tutaishi nayo kwa miezi kadhaa, sasa tukijifungia ndani si tutakufa kwa njaa.
  4. the swaggaz boy

    Ushindi wa Tanzania juu ya janga la Corona

    Pamoja mkuu....!
  5. the swaggaz boy

    Ushindi wa Tanzania juu ya janga la Corona

    Habari za jumapili watanzania wenzangu. Leo nalipanda jukwaa kwa mara nyingine japo si mara nyingi, lakini huwa nikipata chochote nawasilisha nilichonacho. Nimeisikia kwa kifupi sana kauli ya Mh Rais wa JMT Dr John Magufuli katika hotuba yake leo juu ya hali inayoendelea duniani hasa janga...
  6. the swaggaz boy

    Natafuta gari ya mkataba (Taxify & Uber)

    Habari zenu wakuu mimi ni dereva mzoefu, mkazi wa Dar Es Salaam, nahitaji gari kwaajili ya mkataba kwa ajiri ya usafirishaji abiria kwa Uber na Taxify.
  7. the swaggaz boy

    Pikipiki ya Boxer inauzwa

    Pikipiki aina ya Boxer ikiwa na mwaka mmoja inauzwa kwa bei ya sh 1,500,000/=. Haina tatizo lolote la kiufundi. Inapatikana Mtoni Kijichi, Mbagala kuu, Temeke, Dar es Salaam.
  8. the swaggaz boy

    Nampongeza Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya kwa nchi yetu!

    Anakosea tena Sana ila pia kuna mahali anapatia, apewe sifa zake, na pia nimezungumzia wanafiki wanaomsifu pia kwa kila kitu. kana kwamba hakosei.
  9. the swaggaz boy

    Nampongeza Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya kwa nchi yetu!

    Mkuu we soma hivyo hivyo, si wengine elimu yetu ndo inachangia, ila namshukuru moderator kanisaidia japo heading yangu haikua hivyo
  10. the swaggaz boy

    Nampongeza Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya kwa nchi yetu!

    Ila pia wapo ambao wanasifia kila kitu hata kama mkuu kateleza, na ndio maana kwenye andiko langu nimeshauri tusiweke itikadi mbele kwa maslahi mapana ya nchi yetu
  11. the swaggaz boy

    Nampongeza Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya kwa nchi yetu!

    Bwana Yesu asifiwe... Asalaam aleykum wana jukwaa. Nashukuru Mungu kwa kunipa pumzi na afya tele, na leo nimeamua kulipanda jukwaa hili ambalo limesheheni wajuzi wa mambo na wasomi wakutosha. Kwanza napenda kuwapongeza wanajukwaa wenzangu kwa mada nzuri ambazo mmekua mkizitoa katika jukwaa...
  12. the swaggaz boy

    Ushamba: Siasa ndani ya ndege ya kibiashara (Dreamliner)

    unaposema ilipokelewa kwa kumwagiwa maji una maana gani?
  13. the swaggaz boy

    Hawa vitoto vya kiume wa siku hizi hawanaga adabu

    me mwenyewe sio mtoto nina miaka 26 sasa natafutaga sana wadada watu wazima, tena nawataka kwelilweli. Japo bado cjawapata. alieko tayari ani pm basi
  14. the swaggaz boy

    Rais Magufuli sasa imetosha, waambie trafiki wako barabarani watuache tupumue

    nilibeba mzigo kwenye gari binafsi aina ya Noah, nikaandikiwa kosa la '' carrying goods in psv'' . sijui magari ya psv(passenger service vehicle) ni yapi maana hata cjajua mpaka leo
  15. the swaggaz boy

    Bank zimenza kufungwa wananchi walia na pesa zao

    billion 200 zitatoka wap?
Back
Top Bottom