260 haiwezi kuwa cha mtoto kwa 200 labda hiyo 260 iwe ni gari ya diesel kwa kawaida zinachelewa kuchanganya hilo tu lakini vinginevyo ni ndoto za abunuasi
Hizo speed lazima zifike vinginevyo tayari kunakuwa kuna shida kwenye gearbox au engine. So far tunanunua magari used ambayo tayari yameshapungua efficiency NOTE THAT ALSO
Nipo Mbeya town hapa.......!
Yaani hivi navyoongea tayari fundi kasha ua booster ya kushoto ya taa za mbele. Kisa kawasha taa bila kuchomeka ile taa ya booster kwa hiyo imekula spark moja tu kwisha habar. Sasa nawaza tena booster mpya wakati ishu ilikuwa kubadili taa tu. Na booster used ya...
Wakuu habari za majukumu ya kila siku. Nimepata shida sana napopeleka gari iwe ni service au Normal maintanance ya kubadili spea. Nashangaa nikienda garage badala ya gari kupona nakuta mafundi kwa uzembe wanazalisha tatizo jingine hapo hapo.
Na wengine wamejaliwa maneno sana yaaani utamuamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.