Ukiona kilio cha wananchi katika kila kona ya nchi kimetanda, juu yakutotimiliziwa mambo yao ya msingi nakupuuzwa na watawala, basi hiyo ni laana kwa watawala! na hakika MUNGU husikiliza kilio cha watu hawa, hata Mobutu Sesseko alikuwa hivi! lakini mwisho alizikwa kama mnyama wa pori.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.