Nashukuru kwa swali lako zuri,Lakini ninavyofahamu hapa ni kwenye jukwaa la Elimu so mambo yote hapa yatahusu Elimu,ingekuwa tofauti na hapo ,ningetumia ,jukwaa la hoja na habari mchanganyiko,Asante kwa kunielewa na kunikosoa ,ni jambo jema .
Waalimu wote huwa wanaajiriwa ,Suala hapa inategemea na Halmashauri uliyopangwa,mana watakapokuomba transcript alafu huna ndo matatizo yanaanza,Kwa uzoefu nilioshuhudia kwa rafiki zangu walio carry wote wameajiriwa na salary inasoma kama kawaida ,cha msingi andaa maelezo mazuri ya kushawishi...
Jamani wana JF kwa yeyote anayefahamu jinsi mazingira ya MVOMERO,Mkoani MOROGORO YALIVYO naomba kuyafahamu yako vipi wadau ,Asanteni kwa ushirikiano Kuntu,
Tukiruhusu vazi lolote,tutaleta utabaka shuleni,pia maadili ya uanafunzi yatashuka,labda itumike mbinu mbadala ya kuwatambua wenye changamoto hizo na kuwapa msaada,Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.