Recent content by The realy Ngosha

  1. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Unusual move?? [emoji23][emoji23][emoji23] haya sawa wazee wa announcements. Lilitoweka dude flani hivi kwenye mazingira ya kutatanisha kutoka kwenye yard yake juzikati apa [emoji23][emoji23][emoji23] mlitandaza hofu kias cha kuufanya ulimwengu mzima upanic. Hakuna sehemu ipo monitored kwa...
  2. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Dah yaan unaona kabisa Russia inalazimishwa kutumia external forces, hopeful Putin is smart enough!
  3. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwamba tosha tosha tosha mkuu,[emoji23][emoji23][emoji23] mwamba kajaa sumu balaa.
  4. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Msivurugwe ndugu zanguni,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuweni watulivu tafadhar, tutafika tu
  5. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Jamaa haelewi kipindi yani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Tulia hivohivo boss, sindano unatodungwa nayo ni hateree ukitikisika tu itavunjikia kalioni, hapo hatutakua na namna zaidi ya kukufanyia (SPECIAL KALIO OPERATION) joking [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Calm down mkuu, ukiwa free minded ukayatafakari kwa makini maswali aliyokuuliza jamaa, ipo Logic kubwa sana. Shida ni kwamba kuna upande umechagua kuegemea
  8. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wachache sana wenye kumwelewa Generali, Jamaa nacheza sana na psychology,
  9. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Amin wa uganda yeye alipokula tu ugali na kushiba basi akaona anaweza akafanya lolote na asitokee yeyote wa kumzuia, kuna mataifa wakamhakikishia support (kama tu UKRAINE alivyohakikishiwa support) basi bwana Amin akaukwaa mtimbwi wa vibwengo [emoji23][emoji23][emoji23]. By the way mie sikua...
  10. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Long live Vladimir Putin Long live Russias, Long live Africans. Long live bwana utam [emoji23][emoji23][emoji23]
  11. The realy Ngosha

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ivi kwa clarification kama hii kutoka kwa humble Russian foreign minister LAVROVE kweli bado kuna mtu ataendelea kuilaumu Russia? Kwa ustawi mpana wa mataifa Yao na watu wao, viongozi wamekaa mezani waka-draft mustakabali wa future yao wakaweka makubaliano na West wakatoa ahadi bila...
  12. The realy Ngosha

    Kila nikifanya mapenzi wiki nzima nasikia uchovu na usingizi

    Kwamba sex sio fani yake [emoji23][emoji23][emoji23]
  13. The realy Ngosha

    Putin: Tutaifungulia gesi kwenda Ulaya 'kesho'

    Umetisha sana mkuu Na inabidi wafanye upesi kutimiza hilo shariti bado mapema, maana wakichelewa tu anawabadilikia na kuwaambi nimeghairi sasa nataka mtekeleze vyote kwa pamoja. Yaani gas mlipe kwa ruble na vikwazo viondoke tena vyote na vile mlivyoniwekea hata kabla ya kwenda Ukraine...
  14. The realy Ngosha

    Putin: Tutaifungulia gesi kwenda Ulaya 'kesho'

    Kwamba wanachagua bidhaa za kuziwekea vikwazo? [emoji23][emoji23] Kama ni wanaume si waweke vikwazo kwa bidhaa zote? Kwa nini wana-exempt bidhaa zinazowa-favor ? Jamaa kawakamata penyewe. Ni kwamba turbine ikija tu Moscow kesho yake anafungulia gas. Shida ipo hapo kwenye hiyo turbine...
Back
Top Bottom