Ukiiangalia clip wakat Mo anakaribishwa kujionyesha mbele za watu kuna mambo nimeona
1:Mo hana amani ya moyo ya kurudi huku uraian
2:Mo anahuzunika badala ya kufurahi,hafurahi kwa kuwa lipo jambo kubwa lililompata lisilomfurahisha
3:Kama ingewezekana MO angeomba hata kofia ajifunike uso wake kwa...
Kipindi nasoma,nilikuwa nahakikisha sipati karai,hata hivyo fb yenyewe nimejiunga 2008
Ila vijana wetu wa sasa mitandao ya kijamii imewazuzua sana
Ndyo maana wanafeli ovyo ovyo tu
Mwandishi na akina saa nane unajuwa kabisa sababu za utekaji wao
Hata kwa mizania tu utajuwa kabisa ni inshu za kisiasa
Lakin Mo utaweka mizania gan???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.