Sasa nimejua lengo la mada hii. Watu kueni macho. Neno linasema siku za mwisho Maarifa yataongezeka hawa jamaa ndo wanatekeleza hilo. Ila Mimi nitabaki na Kweli. KWELI
Mtafute Huyo mwamke ndo muende naye kuomba msamaha mkishindwa mpelekeni Kwa Yesu yeye hashindwi kitu maana hiyo ni dhambi kama dhambi nyingine. Na hivi sasa aanze toba ili asijeteseka milele motoni
Naomba nianze kukujibu kirahisi. Kwanza kiama ni kufufuka Kwa watu wote tangu Nuhu. Na baada ya kiama ni huku ya ulimwengu siku hiyo ulimwengu huu utakuwa ndo mwisho wake. Labda nikujuze gharika ya kwanza iliangamiza dunia ya kwanza ikaiacha Nchi ukiwa na utupu. Hii ili kuwa hukumu ila...
Ambacho hamjanielewa Si kwamba nimeandika nini. Hamja soma ayubu 38 kuna maswali yanayofumbua kuwa kuna vitu vimeficha na muumba mwenyewe laiti ungesoma ungeuliza vingine. Pili hata bila elimu ya dini bado kumuelewa mungu ni kazi Mimi niseme hivi meditation humhamisha mtu kutoka ulimwengu una...
Soma upate Ufahamu na Maarifa. Kama mmewahi kupitia makala moja jamiiforum iliandikwa vitu sita ambavyo havijaumba na mungu. Nakuonya usije ukakufuru bure. Vitu vinavyoonekana na visivyo onekana ameviumba Mungu na hii Si Nadalia kama asemavyo ni dhahiri. Kwa bahati mbaya simeisoma baada ya muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.