Wenzetu wanalinda na kuthamini sana uhai, na usalama wa raia wao, hapa kwetu mtu na familia yake wanauwa raia wao zaidi ya elfu 10 ili tu abakie kuitwa rais wa nchi na amiri jeshi mkuu, ona Trump anavyopingwa na raia wake lakini hautosikia mtu katekwa wala kauawa.
Delta force, they don't play games, they mean business. alafu anakuja mtu anashika kiuno na kusema who are you? Nchi ambayo bado inaomba pesa za miradi ya kuchimba visima vya maji, nchi ambayo haiwezi kutengeneza hata engine oil? nchi ambayo wakuu wa vyombo vya usalama wanapewa maelekezo na...
JWTz wapo imara sana ndugu, houni matofali yanavyovunjwa pale taifa siku ya siku kuu ya uhuhu?, so marekani watachapwa vibaya mno... si jeshi letu ni la sita kwa ubora duniani? Chini ya CDF mwenyewe,
Hii ni vita ya kiuchumi, mabeberu hasa marekani na Europe wanatuonea wivu na milo yetu mitatu, wamefanya njama mvua zisinyeshe, Marekani anaionea wivu Tanzania baada ya uchumi wa Tanzania kuwa uchumi imara zaidi kuliko ule wa marekani, kwahiyo watanzania tuungane kupambana na Marekani, kama vipi...
Mashekhe watakwambia wahisani watumwa na Kitima au Katoliki, watakwambia kwanini wahisani wanamlenga Samia na sio Nchimbi?Watakwambia nyuma wa wahisani kutakuwa na Nchimbi ndiye kawatuma kumwaribia Samia, mwisho wa siku watasema tutapita misikiti yote nchi nzima mkimwona mzungu yoyote yani...
Anajaribu kulifanya hili swala lionekane ni la kidini, ionekane kwamba nikwasababu ya uislam wake, uzuri ni kwamba asilimia kubwa ya waislam wameshaijua hiyo mbinu chafu nayotaka kuitumia, yani upore uchaguzi, uuwe watu, uteke, ufisidi wewe na mwanao halafu unataka waislam uwqjumuishe...
From no where Mashekhe wale wamemdandia Nchimbi eti hatujamsika akikemea uvunjifu wa Amani, eti Mala katumwa na kitima au Kanisa katoliki, yani mambo ya ajabu sana, yani utoe order ya shoot to kill watu wauliwe halafu ujifiche kwenye udini? Kwani waislam ndiyo walikutuma uuwe maelfu ya watu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.