Jaman mbona kila kukicha taasis y urais inazid kidharauliwa....ts beta to b quet rather dan 2 write nonsense,,, mwishowe utakuja sema diamond kua rais 2015.
Embu achen ujinga wenu eti"nimeamin mungu ana makusud n ww" nyie mmetumwa nn? Mm na akil zang timamu ata siku moha cwez chagua m2 kama lowasa ata kukniwekea pisto kichwan...iv izo pesa anazochangia kila kukcha anaztoa wap, na pia tujiulze kwa nin atumie gharama nyng kiwango iko kutafuta...
Ni kwel unachosema ndug ila katika maisha ya leo ni bora kupata kwanza cz itakusaidia kupata uzoef wkt unatafuta sehm nyngne. Mm nko apo na kuna watu weng wanahamia mabank makubwa waktokea apo.siyo vema kukatasha tamaa wenzio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.