Kwa ukweli hiyo ndio picha ya 2015, DHAMBI ya UBAGUZI inaanza kuwabagua, wamepoteza kata yao ya Mkongor huko KIGOMA. Na bado hiyo ni rasharasha CDM msubiri maumivu makali 2015.
uNAPASWA KUFAHAMU, NCHI CHANGA ZOTE ZINATEGEMEA MSAADA TOKA MATAIFA MAKUBWA, ASIPOENDA UTAKUWA WA KWANZA KUCHONGA UTAPOKUFA KWA AJILI YA KIPINDUPINDU NA HIV/AIDS. JARIBU KUFIKIRI KABLA YA KUSEMA KITU KATIKA MITANDAO.TATIZO SI SAFARI, TATIZO JE, SAFARI ZA JK ZINATIJA?KAMA ZINATIJA HAINA TATIZO...
Acha ujinga wewe hujui hata siasa zilivyo, mbona mbowe na lissu hawakufunguka na kuwaeleza umma kuwa zitto alipoewa magari 2 na mkono? usiwe na akili za nyumbu
Acha mambo ya uzanzibar na ubara huo ni ubagyzi, muhim ni utendaji kazi wa mtu. toka awe waziri hajapata kashfa ya aina yeyote ile, ni msafi, fuatilia hbr kwa umakini.
Ndugu ujiitae mwanasaikolojia, napata wasiwasi na kichefuchefu juu ya taaluma yako kwani unaandika vitu vya kijinga na kipumbafu, tena vya kuudanganya umma wa watanzania.
Hivi unauhakika kuwa watu au wanasiasa wa kigoma wako tayari kuisaliti jamii yao kwa sababu ya pesa? hii ni wanasiasa...
Lah! Ama kweli Tanzania i pepo ya mabwege, tumechoka na ungo wa viongozi wetu. Mh pinda anajaribu kutudanganya kuwa anapokea milioni sita pamoja na posho ya mke wake, na mshahara wake hautofautiani na wa rais kwa milioni moja. naiman pinda ni msemakweli, ili umma wa watanzania uamini, tunaomba...
Big up MH. JMK, Kwa sekta ya miundo mbinu nakupa hongera umeimarisha na nchi sasa inapitika hongera sana, jitahidi kuunganisha mikoa ya kusini na magharibi na mikoa mingine kabla hujatoka madarakani.
Hebu tueleze kambona na bibi tti walisaliti nini siasa za TANU, Tatizo kubwa viongozi wa kiafrika hawa taki challenge. Sio, titi wala kambona tu, kwa taarifa yako wapo viongozi wengi wakati wa siasa za chama kimoja na wakati wa utawala wa mwl. nyerere walipinga siasa za chama kimoja na...
Ni sahihi, hii sio mara yake ya kwanza kusema kauli hiyo. Kama utakuwa mdau wa siasa Mh. Zitto mwaka 2008 alisema kuwa hagombei tena, badala yake mwaka 2010 akagombea. na kwa sasa anampango wa kugombea jimbo la kigoma mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.