Recent content by The Interpreter

  1. T

    Utajuaje kama huyu amefariki kwa mpango wa Mungu au kwa Ushirikina?

    Kwa hivyo Mungu anapenda watu tuwe misukule au sio 🤒
  2. T

    Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 04, 2022 watuhumiwa kuanza kujitetea

    Gaidi aliwezi kupona lazima liamke na kulala segerea manyapara wafanye yao!
  3. T

    Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

    baghi ndio nini, zumbu kuku wewe. Kielimu hunizidi, kimaadili nimekuacha mbali choko wewe!
  4. T

    Alichofanya Tundu Lissu, ndicho alichofanya Zitto Kabwe, kwa Rais Samia

    kuna nini cha kuelewa hapo zaidi ya unafiki tu?
  5. T

    Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

    Makamba ni mjinga mjinga
  6. T

    Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

    Upo sahihi kabisa alichokifanya kundu ni mambo ya kitoto kweli kweli.
  7. T

    Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

    Unasikia, lakini huna ushahidi. Jipime kama medula yako iko sawa
  8. T

    JWTZ ifanye uchunguzi dhidi ya tabia na mwenendo wa askari wake Denis Urio

    Kwa hiyo mbowe alifanya kazi na komandoo zuzu?
  9. T

    Mkoa wa Arusha una wilaya masikini sana

    Nika mkoa ka hovyo, takataka kabisa. Siwezi kuishi huko mimi
  10. T

    Mzee Juma Duni Haji, wanaotaka Mbowe asote gerezani ni Washirika wa Chama Chako

    hivi kumbe huyo hamnazo ni mwanamke, asalaleee
  11. T

    Gerezani kuna nini maana Mbowe ananawiri kila kukicha

    Mnasemaje tumpe unyampara kabisa?
  12. T

    Kanda ya Kaskazini inazidi kupotea kwenye ulingo wa kisiasa katika nafasi nyeti

    Hakuna anayewaamini tena nyie viumbe, nyie ni wakabila, wabinafsi na wezi
  13. T

    Ni kweli mtu hawezi kupata mali za kutisha, Umaarufu mkubwa na mafanikio makubwa kwenye biashara na fedha nyingi bila kuwa mshirikina?

    watu wa quran wa nini? Hujaridhika na majibu uliyopewa? Yani watu wenye akili timamu hawawezi kubishana huu upumbavu wenu!
  14. T

    Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

    Mimi nimetoka huko juzi, tangu mwezi wa 7 nipo nashangaa migomba tu!
Back
Top Bottom