Mi nadhani kwakua chama hakijawateua naona hakuna haja yakulijulisha bunge. wakilijulisha bunge inamaana uteuzi wao chama kilikuwa kinaujua. Kuwafukuza inatosha
tunapotaka vyeo tuwe na akili na uwezo unaolingana na nafasi yenyewe, sio kutaka nafasi flani ili tu uweke historia kuwa uliwahi kuwa mtu flani katika nchi.
yanayoendelea sakata la waliokuwa wabunge wa chadema ni aibu.Kwa mtu anayetumia akili vizuri anajua lengo ni ninihapo
Umeniwahi kumtaja kigogo katika hili. Umesema kweli. Nakumbuka kigogo aliwataja hawa akina mdee na bulaya juu yaswala hili hafu wao wakamjia juu.
Saa ndoo hayo. jamaa nimemkubali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.