Recent content by The indigenous

  1. T

    Bwana Ndugai anahitaji msaada wa haraka wa saikolojia

    Mi nadhani kwakua chama hakijawateua naona hakuna haja yakulijulisha bunge. wakilijulisha bunge inamaana uteuzi wao chama kilikuwa kinaujua. Kuwafukuza inatosha
  2. T

    Bwana Ndugai anahitaji msaada wa haraka wa saikolojia

    tunapotaka vyeo tuwe na akili na uwezo unaolingana na nafasi yenyewe, sio kutaka nafasi flani ili tu uweke historia kuwa uliwahi kuwa mtu flani katika nchi. yanayoendelea sakata la waliokuwa wabunge wa chadema ni aibu.Kwa mtu anayetumia akili vizuri anajua lengo ni ninihapo
  3. T

    Kumbe Menejimenti Team yote ya BAWACHA wamepata Ubunge wa Viti Maalumu

    Mpuuzi tu yule hamna kitu kumbe boya tu
  4. T

    GE2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

    Umeniwahi kumtaja kigogo katika hili. Umesema kweli. Nakumbuka kigogo aliwataja hawa akina mdee na bulaya juu yaswala hili hafu wao wakamjia juu. Saa ndoo hayo. jamaa nimemkubali
Back
Top Bottom