Recent content by the horse

  1. T

    Juma Polle apigwa chini uchaguzi Masasi, vijana wamkataa, watuma ujumbe mkoa mzima wa mtwara. Makundi na roho mbaya vyatajwa kummaliza

    Wiki iliyopita Jumanne Julai 26, 2022 kulifanyika uchaguzi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Kata ya Mijelejele Wilayani Masasi ambako Juma Polle ni Diwani wa Kata hiyo ya Mijelejele. Juma Polle aliomba nafasi ya Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Mkoa kutokea Kata ya Mijelejele. Kwenye nafasi...
  2. T

    Awamu ya 6 inavyochanga vyema karata kukabiliana na tatizo la ajira nchini kwa kutengeneza ajira milioni 8

    Awamu ya 6 maneno kidogo, vitendo kwa sana. Kazi Iendelee
  3. T

    Katibu Mkuu wa CCM taifa, Daniel Chongolo afanya mazungumzo maalumu na Joel Nanauka

    KATIBU MKUU WA CCM TAIFA CDE DANIEL CHONGOLO AFANYA MAZUNGUMZO MAALUMU NA JOEL NANAUKA, DODOMA. 28.03.2022 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Cde Daniel Chongolo, Leo amekutana na Ndg Joel Nanauka na kufanya naye mazungumzo katika ofisi Kuu za CCM jijini Dodoma. Katika mazungumzo...
  4. T

    Kuelekea mkutano mkuu wa CCM Aprili 01, nini maana ya mkutano mkuu wa CCM na nguvu yake?

    Na Bwanku M Bwanku. Jumamosi Machi 12, 2022 Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka alitangaza Uamuzi wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kujadili pendekezo la kuitishwa kwa Mkutano Mkuu wa CCM lililotolewa kwenye Kikao chake cha Desemba 18, 2021 na...
  5. T

    Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na chipukizi UVCCM Taifa cde. Victoria Mwanziva ateta na wanafunzi kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii

    Chuo Cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (Kigamboni Dar es salaam) Wanafunzi na Mitandao ya Kijamii Kongamano Maalum la Wanafunzi na Mitandao ya Kijamii- limefanyika Chuo Cha mwalimu Nyerere Dar es Salaam ambapo Katibu Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa, Cde Victoria Mwanziva alikua mgeni...
  6. T

    Wanavyuo Mwanza watoa kongole kwa Rais Samia

    Safi sana hadi Raha. Kazi kubwa inafanyika. Ni lazima tuwatie moyo viongozi wetu
  7. T

    Viongozi wa Dini Kilimanjaro wakanusha kumpokea kiongozi yeyote wa kisiasa Machi 19, 2022

    Sisi viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kilimanjaro tumeshangazwa na ujumbe unaosambazwa mitandaoni kwamba tutahusika na mapokezi ya Kiongozi wa Kisiasa . Tunatambua kwamba ujumbe huo ni wa Wanasiasa na wala haujatoka kwetu sisi viongozi wa Dini. Sisi kama viongozi wenu wa Dini tunaendelea kujikita...
  8. T

    TPA na kampuni ya Dangote waingia makubaliano ya kibiashara kupitia bandari ya Mtwara

    selekali ya rais Samia ina akili sana na inajua kufanya kazi na kuendesha nchi..hii kubwa sana sana hii. Heko mama samia
  9. T

    Dkt. Samizi ashiriki siku ya wanawake duniani kwa matukio makubwa jimboni Muhambwe

    Hongera. Huyu Dokta anachapa kazi sana. Naonaga muda mwingi anaenda Jimboni sana. Hawa ndo Viongozi Hawa.
Back
Top Bottom