ni maoni yangu.unanishangaa mimi na mimi nakushangaa wewe.yawezekana wewe ukawa ndo una tatizo.mtu akufundishe kuwa kuiba ni dhambi then huyo huyo anakuibia,still uamin akikwambia ipo siku utachomwa.angalia akili yako mkuu
yawezekana kuna nguvu inayoongoza vitu kutokea.lakini hiyo nguvu haiwezekani ikawa hii ambayo usipo iabudu itakuchoma siku moja.kuna sababu gani ya kutengeneza kitu halafu baadae ukiharibu kwa mateso makubwa hali ukijinasibu wewe ni upendo?kama sio upendeleo kwanini alichagua taifa lake na...
kama kompyuta haiwezi kutokea yenyewe,je mtengeneza kompyuta anaweza kutokea from no where?
okay,let say dunia haiwez kujitokeza tu yenyewe coz iko complicated sana,so ina hitaji mtu aliye i design.je inawezakuja akilin kuwa aliye i design alitokea tu from no where?there might be a power...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.