Kiongozi asiyekemea na kukaripia watu ni mfano wa kikaragosi! Acha kumtafasiri vibaya baba wa taifa, ambaye amekuwa akikaripia na kukemea uovu sawa na afanyavyo Rais JPM.
Wafuasi wa CHADEMA wengi wanastress za maisha, na hivyo kupelekea akili zao kupenda kusikiliza mambo ya kuwafariji wao haijalishi hata Kama ikiwa ni za kubuni na uongo uongo tu.
Na:
MC Wenceslaus
Dodoma.
12.01.2021
Habari za leo ndugu watanzania wenzangu na wazalendo wote wa Tanzania hii! Ni matumaini yangu kuwa tunaendelea kuwajibika vema katika ujenzi wa uchumi wa nchi yetu Tanzania. Nitumie nafasi hii kuwatakia mapumziko mema ya siku ya leo hasa tunapoadhimisha...
Ni nani aliye ndani ya ulimwengu huu na hata aliyeiumba na akaishi huko mbinguni alipendwa na wote?! Unanifurahisha sana, kwa jinsi unavyotafasiri tofauti neno kupendwa na jinsi unavyoshindwa kuelewa tofauti baina ya unyenyekevu na kupendwa 😂😂.
Kwa bahati nzuri zaidi uliyoyaandika ni misukumo...
Ni sawa kusema zero analysis kwa sababu hata unayoyaeleza ni zero tu, kwa hiyo ni lazima analysis yake iwe ya namna sawa nayo. Hakuna jipya uliyoyasema katika hayo isipokuwa ni yaleyale yasemwayo na hao waliokukaririsha upuuzi, achana na ulofa jifunze kutumia akili zako binafsi.
Siasa ni moja ya kazi miongoni mwa kazi nyingi ndani ya jamii za watu. Mtu anaweza akachagua kufanya siasa au kutofanya siasa. Wahenga waliwahi kusema kuwa "Ni rahisi kumsukuma Punda kufika mtoni, lakini si rahisi kumlazimisha ayanywe maji ya mtoni."
Mtu atafanya kazi ambayo nafsi yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.