Recent content by The frog horn

  1. T

    Mwadui FC Vs Simba SC

    Leo msemaji wenu nadhani atapokea! Maana juzi kati hapo aligomea kupokea simu ya RADIO ONE michezo saa 19:30
  2. T

    Mwadui FC Vs Simba SC

    Hao wa matopeni wapigwe tu, hakuna lugha nyingne ya kusema hapo!
  3. T

    Ligi Kuu ya Tanzania Bara: Mbao FC yaitandika Simba SC kwa goli 1-0

    Msemaji wenu amegomea kupokea simu ya RADIO ONE.!
  4. T

    Yanga SC vs Coastal Union

    Hawa Coastal ni kichapo tu hamna cha ziada! Ila kwenye mziki watashinda!
  5. T

    Ni timu gani ya soka ikifungwa huwa unapata furaha?

    Wewe ni Chelsea bila shaka
  6. T

    Ni timu gani ya soka ikifungwa huwa unapata furaha?

    Man utd , Arsenal, Real Madrid zikifungwa huwa nafrahi sana
  7. T

    Huyu Jamaa Hakuna Rekodi Atakayoiacha Salama!

    Umehamia Kwa Kagere tena? Vipi Okwi? Huyo Magere wako usimwamini asbh hiii, ndio mech mbl kacheza.lig ndio imeanza. Huyo Kagere wa kawaida sana
  8. T

    Tujikumbishe baadhi ya sajili mbovu kuwahi kutokea kwenye Soka

    Nionzima (Yanga)free - Simba (Wamatopeni FC) Giroud (arsenal)-Chelsea
  9. T

    Meneja wa Simba SC afungiwa mwaka mmoja kwa kuihujumu Taifa Stars

    Safi sana, angefungiwa hata Karne moja kabsa .
  10. T

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Leo mtapigwa tu! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Acha kubet Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom