Recent content by THE FREE

  1. T

    JamiiForums Tanzania Fibroids

    Uwezekano upo
  2. T

    JamiiForums Tanzania Sababu na tiba ya michirizi ya mwili kwenye ngozi

    Shukrani sana kwa elimu nzuri Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
  3. T

    JamiiForums Tanzania Haya ndio madhara ya kunywa maji ya baridi

    Ni vyema ungetuletea pia jina la utafiti ambao ungeuunga mkono mada yako
  4. T

    JamiiForums Tanzania Je, kutokwa na fluid nyeupe uumeni ni dalili ya ugonjwa wa kaswende?

    Ukiwa na kaswende hutopata fluid
  5. T

    JamiiForums Tanzania Upasuaji wa vidonda vya tumbo

    Vidonda vya tumbo havitibiwi kwa operation unless mtu amepata complications kama perforation Je unajua hivyo vidonda vimesababishwa na nini, hii itasaidia kutibu tatizo
  6. T

    JamiiForums Tanzania Hichi nini kwenye mwili wangu wataalamu wa X Ray, CT Scan na MRI

    Pia jaribu kuweka historia fupi ya tatizo lako, unaweza kupata mtu ambaye pia alikuwa na shida kama yako ambaye anaweza kukupa ABC
  7. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la ugonjwa wa pneumonia

    U/mmejuaje ana pneumonia? tupe historia kidogo ya tatizo lake huenda ana shida nyingine Asante
  8. T

    JamiiForums Tanzania Dada yangu anasumbuliwa na kubanwa na pumzi na maumivu ya mbavu au mgongo

    Mpe pole, huenda akahitaji kuonwa pia na psychologist/psychiatrist kutokana na uchache wa dalili ulizotaja, pia unaweza kutujuza kuhusu kutoka jasho sana, mapigo ya moyo kwenda kasi, hofu kubwa na dalili zingine zinazoambatana. Jaribu kueleza kwa kina pia kuhusu maisha yake kiujumla yaani...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu haya maumivu ya kichwa

    Hamna dalili zingine unazohisi?
  10. T

    JamiiForums Tanzania Je, Itakua shida nini?

    Je si msikivu mahali popote au ni hapo nyumbani tu Unaweza kusoma kuhusu ADHD kisha mfuatilie tena, unaweza kugundua kitu.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Sikio linauma sana, nahitaji msaada wa Hospital ninayoweza kupata matibabu

    Inaweza kuwa chronic suppurative otitis media, hivyo utahitaji kufanya culture and sensitivity of the pus, xray and possible other imaging studies , kisha utapata matibabu ipasavyo including aural toilet with antibiotics au surgery kulingana na ukubwa wa tatizo.
  12. T

    JamiiForums Tanzania Miezi miwili hajapata hedhi, amepima hana ujauzito

    Miezi miwili bado ni michache sana kusema ana tatizo la kutopata hedhi
  13. T

    JamiiForums Tanzania Mimi mjazito napata maumivu kwenye makalio

    Hiyo inaweza kuwa sciatica japo mimba bado ni ndogo, ni hali ya kawaida inawapata baadhi ya wajawazito.Hivyo unaweza fanya massaging ya mara kwa mara, epuka kusimama muda mrefu. Pia hakikisha unapata choo laini ipasanvyo kwa kula mlo kamili Kwani mjamzito pia unaweza usipate choo kama kawaida...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata physiotherapist

    Nenda hospital huko utakutana nao na watakupa mwongozo mzuri zaidi
  15. T

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Kwa hali uliyo nayo inahitaji life style modification pia matumizi mazuri ya ppi.Epuka ushauri wa mtaani maana utapoteza pesa bila mafanikio yeyote.
Back
Top Bottom