Mwaka wa 2017 umeisha kukiwa na matukio mengi ya wanasiasa hasa wabunge na madiwani kuhama vyama vyao. Huenda pia mwaka huu matukio kama hayo yakatokea tena kuliko hata ya mwaka jana.
Nimekaa na nikiwaza na nashindwa kupata majibu ya kina. Wanasiasa hawa wanapohama watu wengi husema ni haki...
kosa kubwa kwa kila kituo ni habari za uchochezi......sasa zinachochea nani na nani? lakini kwa nini mamlaka zinatafasiri maoni ya watu kama habari za uchochezi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.