Asasi za Kiraia (CSOs) ni wadau wakubwa katika maendeleo kwa nyanja zote; kiuchumi, kijamii, kiutamaduni na hata ki-teknolojia. Wafadhili (donors) hutumia Asasi za Kirai kama njia (channel) katika uwekezaji wa rasilimali fedha (investment) Bahati mbaya sana, Asasi nyingi hazina ufahamu namna...
Mkuu.
Ufadhili kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi unapatikana, ila ; wafadhili wengi (karibia 95%) hutoa ufadhili kwa Miradi inayotekelezwa chini ya mwamvuli wa Taasisi. Ufadhili mchache sana hupatikana kwa Miradi inayotekelezwa na mtu mmoja mmoja. Pia ili kuongeza uwezekano wa kupata huo...
Mkuu.
Bei inategemea na aina ya Biashara yako, pia package ya huo ushauri unaoutaka. Wakati mwingine, ushauri huweza kuambatana na "report" juu ya soko la hiyo biashara yako n. k
Kwa mawasiliano zaidi, tuwasilieni kupitia namba za simu hapo juu.
Karibu Sana Mkuu.
Ufuatiliaji na Tathmini (Monitoring & Evaluation) japo ni hatua za mwisho katika utekelezaji wa Mradi, hazimaanisha UTAMATI wa mradi.
TATHMINI ya mradi inapofanyika na kuonyesha kwamba Mradi haukuweza kufikia malengo yake, hapa mchakato unarudi tena kwenye hatua ya PROBLEM IDENTIFICATION. Lengo...
1. TANZANIA FOREST FUND.
Ruzuku: Tsh 5 Mil
Eneo: Uhifadhi wa Misitu, Uboreshaji wa Maisha ya Watu Waishio Pembezoni mwa Misitu n. k
Chanzo Cha Taarifa : www.forestfund.go.tz
2. THE MCLAIN ASS FOR CHILDREN
Ruzuku: Tsh 17, 235,000
Eneo: Kuwajengea Uwezo Watu Wenye Ulemavu (PWDs) , kuboresha...
Usimamizi wa Mradi (Project Management) hufanyika kwa lengo la kuhakikisha kwamba mradi unatekelezeka kwa namna ulivyokusudiwa (as designed) ili kuweza kufikia malengo mahsusi yake (specific objectives). Utimilifu wa usimamizi wa mradi (Successful Project Management) kwa kiasi kikubwa hutegemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.