Serikal imebugi sana kuupeleka uwanja wa soka kwa wamaasai huko,bora wangeujenga mbeya,moro,au dom
Wamaasai na mpira wap na wap mikoa ya mbeya,iringa,songea huko kuna vipaji vingi sana kama uwanja ungejengwa hata mbeya basi ingekuwa chachu ya vijana kujituma katika soka na kupata ajira
Hiyo siyo ishu ya sifa,jamaa kasema wazi kwamba mwendazake alijua anaweka pesa kwenye mradi ambao mtu binafsi ndyo mnufaika mkuu,kama ni kweli alikuwa sawa kuutelekeza
Dah hizo zote ni hasara tu hakuna cha simba wala yanga hiyo pesa yote mbona kuna mambo mengi ya muhimu ya kufanya.
Haya hapo vi vilabu viwili mwakani zikienda timu nne muyakumbuke haya mnayoyafanya na vilabu vingine vitakavyoshiriki mashindano ya caf
Hiyo ni kwa binadamu wa kiume na wa kike Au wa kiume peke yake,vipi kuhusu binadamu wa kike mim huwa najua anamatundu nane kwa kuzingatia hoja yako umehesabu sehem ya kutolea mkojo kwa mwanaume pia mwanamke anayo ya kutolea mkojo
Mkuu hii kauli yako mwanzoni nilikuwa naipuuza,Ila juzi baada ya kuona jamaa tunafanya nae kazi kapewa task na mkuu wa kitengo aikamilishe akasema sawa,akatoka nje kakutana na mafundi wanarekebisha majengo ya kazi wakaanza kubishana mpira,
Wakati huo huo ndiyo tulikuwa tunasubiri kazi yake...
Yaani mkuu haya mambo ya mpira kwa wasiojielewa ni kama ugonjwa au wendawazimu kuna watu hawajali muda wa kazi au vitu muhimu wenyewe ni kubishania mpira tu
Mkuu ni kweli kabisa,Vijana wa huku kijijini wengi wanafanya kazi hasa za kilimo hawana tamaa na pesa za wizi au uonevu japo wapo lakini siwezi linganisha na sehem nliyokuwa naishi mwanzo kabla ya kuhamia huku..
Naona wadau mnashauri kumpuuza ,Ni sawa ila ni bora Yeye mwenyewe atengue kauli yake kwanza
Vinginevyo tutakuwa tunadharau kauli ya kiongozi ambaye yupo hapo alipo kama muwakilishi tu wa Rais otherwise,Rais mwenyewe amtengue bwana ndumbaro kwa kuongea mambo ambayo yanaweza yakaleta athari za...
Mkuu ni kwel wananunua mbegu kilo 2 kwa elf 2 au ni typing error tu,
Serikal inabid ifanye namna maan mahind saiz hayana bei kabisa wakulima lazima walie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.