Yesu ni Mungu.
Yesu anakuja duniani kama mwanadamu akiwa na karama zote ikiwemo karama ya Unabii.
Yesu ni nabii wa mwisho duniani kwasababu alikua na Sifa zote za kinabii.
Tatizo watu wengi wameathiriwa na ubishi wa kidini (Haswa waislamu wanaodai Yesu si Mungu bali ni nabii tu).
Yesu...
Habari yako Mtumishi wa Mungu.
Yesu hakusema kwamba Yohana mbatizaji ndiye nabii wa mwisho, Nafikiri umeelewa vibaya ile Luka 7:27 — “Kwa kuwa huyu ndiye nabii aliyeandaliwa, na mimi kusema kweli, hakuna mwingine aliye kama yeye wa kuzaliwa na wanawake.”
Hii inamaanisha Yohana alikuwa nabii wa...
Habari yako wewe unayesoma uzi huu muda huu.
Leo ni siku nyingine Bwana Mungu ametupa nguvu ili tuendelee kupambana kuutafuta Uzima wake na kupata amani ya kweli ndani ya mioyo yetu.
Hatuna budi kumshukuru Mungu kwa neema hiyo.
Leo ningependa kuzungumza kuhusiana na fundisho hili la kiroho...
Don't explain this emotionally.
Explain this while refering to bibble quotes.
2 TIMOTHY 4: 3-4.
For the time is coming when people will not endure sound teaching, but having itching ears they will accumulate for themselves teachers to suit their own passions, and will turn away from listening...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.