Recent content by The celebrity

  1. The celebrity

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Aisee!! Kwanza Kwanini unataka waoneshe jua?
  2. The celebrity

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Umeona ndio ukauliza ukapewa explanation juu ya ulichouliza, unataka Nini Tena?😂.
  3. The celebrity

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    But it's according to AI, so issue ni kusoma na kuelewa,
  4. The celebrity

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Kwanini Hawajatua na Kuweka Bendera? Hapa ndipo kuna utofauti wa kimisheni: Artemis II: Ni misheni ya kuzunguka tu (Flyby) ili kujaribu mifumo ya maisha (Life Support) kwa ajili ya binadamu. Hawakukusudiwa kutua. Artemis III: Hii ndiyo misheni iliyopangwa kutua mwezini (Moon Landing), ambayo...
  5. The celebrity

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    According to AI; Soma uelewe. Maswali yako ni ya msingi na yanagusa maeneo muhimu ya fizikia na teknolojia ya anga. Ili kuelewa kwanini unachokiona kwenye video za Artemis kinaonekana tofauti na matarajio yako, ni lazima tuangalie kanuni za kifizikia zinazotawala anga za mbali: 1. Kwanini...
  6. The celebrity

    JamiiForums Tanzania Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1.3 na Getty Images

    Kama nilivyosema mwanzo kilichofanyika ni branding tu hasa kwetu sisi ambao wengi wetu tulikuwa hata hatujui hiyo 'getty image' na hii sio Mara ya kwanza picha ya diamond kuuzwa kwa bei hiyo hiyo getty image. Kwenye Tuzo za BET ambazo diamond alikuwa nominated for the first time pia picha zake...
  7. The celebrity

    JamiiForums Tanzania Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1.3 na Getty Images

    Ndio ni msanii wa kimataifa but ukimlinfanishs na hao uliowataja bado bado asee lkn pia hata bei za picha za hao uliowataja ni Ile Ile Sawa na ya diamond [getty image].
  8. The celebrity

    JamiiForums Tanzania Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1.3 na Getty Images

    Ni kweli bro! Lakini tujiulize ni msanii gani kutoka Tanzania ama East Africa picha yake ilishawahi kuwekwa sokoni[Gettyimage] kama Diamond? Ama kama yupo je kwa gharana gani? Issue hapo ni branding kwa diamond ni kitu kikubwa[kwa upande Wetu east africa] Lakin ukisema umlinganishe na wasanii...
  9. The celebrity

    JamiiForums Tanzania Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Ndio, maana inadepend na nguvu uliyotumia. Kama umetumia nguvu Kubwa zaidi kupita kiasi unategemea nini?? Ili vifike Kwa pamoja, ni lazima kuwe na uwiano sawa. Mfano: Uzito 1: 20kg force: 2 Newton Uzito 2: 10 kg force: 1 Newton So, Acceleration= 2/20 = 1/10= 0.1 m/s². Lkn imagine: Uzito...
  10. The celebrity

    JamiiForums Tanzania Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Vitafika Kwa pamoja 🤣, maybe utumie nguvu sawa Kwa vyote(yaani chenye uzito mkubwa na mdogo) hapo chenye uzito mdogo ndo kitaanza kufika lkn ukitumia nguvu Kubwa kwenye chenye uzito mkubwa na ndogo chenye uzito mdogo probability Kubwa ni vitafika Kwa pamoja.
  11. The celebrity

    JamiiForums Tanzania Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Hapa hauji sawa!! Kuvutwa Kwa nguvu Kubwa(force) haimaanishi ndio itasababisha kitu ki accelerate Kwa rate Kubwa. Utanielewa tu. Mfano: ukibeba ndoo mbili ya litre 10 mkono mwingine litre 20. Utatumia nguvu Kubwa kwenye ndoo ya litre 20 kuliko ya litre 10, lkn zote utazinyanyua Kwa pamoja. F...
  12. The celebrity

    JamiiForums Tanzania Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Asanteee!!! Umemaliza yoteee!! Sasa akili zumeanza kukukaa sawa. Kwahy unajua wazi fika Kasi(accelaration) ya vitu kuanguka haitegemei uzito wa kitu Kwa maana ipo constant,(Rate). Hii inamaana kwamba vitu vyote vina accelerate kwenda chini kwa the same rate,(at free fall), sasa ulishawahi au...
  13. The celebrity

    JamiiForums Tanzania Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    🤣🤣🤣🤣 Umeishiwa sasa?? Umeshamaliza Kila kitu, umesema Dunia Ina curvature. Hukubaliani models za flat earth, huna unachojua chochote kuhusu umbo la Dunia so huna chochote Cha kuendelea kusema humu, labda utetee hoja nilizoanisha
Back
Top Bottom