Kwanini Hawajatua na Kuweka Bendera?
Hapa ndipo kuna utofauti wa kimisheni:
Artemis II: Ni misheni ya kuzunguka tu (Flyby) ili kujaribu mifumo ya maisha (Life Support) kwa ajili ya binadamu. Hawakukusudiwa kutua.
Artemis III: Hii ndiyo misheni iliyopangwa kutua mwezini (Moon Landing), ambayo...
According to AI; Soma uelewe.
Maswali yako ni ya msingi na yanagusa maeneo muhimu ya fizikia na teknolojia ya anga. Ili kuelewa kwanini unachokiona kwenye video za Artemis kinaonekana tofauti na matarajio yako, ni lazima tuangalie kanuni za kifizikia zinazotawala anga za mbali:
1. Kwanini...
Kama nilivyosema mwanzo kilichofanyika ni branding tu hasa kwetu sisi ambao wengi wetu tulikuwa hata hatujui hiyo 'getty image' na hii sio Mara ya kwanza picha ya diamond kuuzwa kwa bei hiyo hiyo getty image.
Kwenye Tuzo za BET ambazo diamond alikuwa nominated for the first time pia picha zake...
Ndio ni msanii wa kimataifa but ukimlinfanishs na hao uliowataja bado bado asee lkn pia hata bei za picha za hao uliowataja ni Ile Ile Sawa na ya diamond [getty image].
Ni kweli bro! Lakini tujiulize ni msanii gani kutoka Tanzania ama East Africa picha yake ilishawahi kuwekwa sokoni[Gettyimage] kama Diamond? Ama kama yupo je kwa gharana gani? Issue hapo ni branding kwa diamond ni kitu kikubwa[kwa upande Wetu east africa] Lakin ukisema umlinganishe na wasanii...
Ndio, maana inadepend na nguvu uliyotumia. Kama umetumia nguvu Kubwa zaidi kupita kiasi unategemea nini??
Ili vifike Kwa pamoja, ni lazima kuwe na uwiano sawa. Mfano:
Uzito 1: 20kg force: 2 Newton
Uzito 2: 10 kg force: 1 Newton
So, Acceleration= 2/20 = 1/10= 0.1 m/s².
Lkn imagine:
Uzito...
Vitafika Kwa pamoja 🤣, maybe utumie nguvu sawa Kwa vyote(yaani chenye uzito mkubwa na mdogo) hapo chenye uzito mdogo ndo kitaanza kufika lkn ukitumia nguvu Kubwa kwenye chenye uzito mkubwa na ndogo chenye uzito mdogo probability Kubwa ni vitafika Kwa pamoja.
Hapa hauji sawa!! Kuvutwa Kwa nguvu Kubwa(force) haimaanishi ndio itasababisha kitu ki accelerate Kwa rate Kubwa. Utanielewa tu.
Mfano: ukibeba ndoo mbili ya litre 10 mkono mwingine litre 20. Utatumia nguvu Kubwa kwenye ndoo ya litre 20 kuliko ya litre 10, lkn zote utazinyanyua Kwa pamoja.
F...
Asanteee!!! Umemaliza yoteee!!
Sasa akili zumeanza kukukaa sawa.
Kwahy unajua wazi fika Kasi(accelaration) ya vitu kuanguka haitegemei uzito wa kitu Kwa maana ipo constant,(Rate). Hii inamaana kwamba vitu vyote vina accelerate kwenda chini kwa the same rate,(at free fall), sasa ulishawahi au...
🤣🤣🤣🤣 Umeishiwa sasa?? Umeshamaliza Kila kitu, umesema Dunia Ina curvature. Hukubaliani models za flat earth, huna unachojua chochote kuhusu umbo la Dunia so huna chochote Cha kuendelea kusema humu, labda utetee hoja nilizoanisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.