Recent content by The bump

  1. The bump

    Kukulana mchana vs kukulana usiku

    Wewe huna nyege wewe... Hv una njaaa utaweza uliza njaaa ya mchana na njaa ya usiku ipi kali? Huna njaaa wewe
  2. The bump

    GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Mtu anaemsifia samia sijui namuonaje yani.... naona kama kaniona mimi mtotoooo jingaaaa falaaaaa boyaaaaaa ndo naona ivyo
  3. The bump

    Huu ni ulinzi au udhalilishaji unaofanywa na marais wa Afrika?

    Bajeti ingekuepo Nchi ingetakiwa kuwa na HOSPITAL ya kutibu Viongozi NYETI tu Isiyojulikana, mbali na Hospital tukiongelea IKULU ilipaswa iwe ni jengo lenye mazaga zaga yote. Rais anamaliza kila kitu ikulu akitoka mule ni either MAITI tukazike au Kapewa TRANSFER nnje ya Nchi lakini TRNSFER ya...
  4. The bump

    Huu ni ulinzi au udhalilishaji unaofanywa na marais wa Afrika?

    Ile ni MISSION PLANED na ndio mana tunasema nchi zetu za Africa hatujawekeza Bajeti katika ULINZI wa ma RAIS bado kuna Loopholes nyingi ambazo MAFIA wakiamua wanazitumia kama ya MZENA.
  5. The bump

    Huu ni ulinzi au udhalilishaji unaofanywa na marais wa Afrika?

    Samia anaweza tumia mitutu yote ya silaha binafsi usimuone pale alipo kuna namna yupo fiti. Ila kurusha ngumi ndio hawezi ila yeye kama yeye kukubatua hakukosi akishika chuma. Rais ana mafunzo ya siri mengi
  6. The bump

    Huu ni ulinzi au udhalilishaji unaofanywa na marais wa Afrika?

    Hawachoki hao wanapumzika usiku vizuri tuwakishamuingiza rais ndani wanaenda pumzika.. Kwa mchana wanatumia vinywaji vya kuwaeka.ACTIVE yeye na Rais hutokaa uaaone wanasinzia hata kama tukio litaanza asubuhi hadi usiku saa 1 hawasinziii maana wana booster
  7. The bump

    Huu ni ulinzi au udhalilishaji unaofanywa na marais wa Afrika?

    Hamna ulinzi wowote hao ni kwa ajili ya kumdaka rais akijikwaa,ukitaka dondoka kwa ugonjwa,uchovu nk ila hao sio wa ulinzi direct kama tudhaniavyo. Lakini pia ni mtu ambae anakua tayri kwa ajili ya kupokea maelekezo ya kitaalamu/usalama namna ya kumwokoa Rais endapo itatokea ambush. Assume...
  8. The bump

    Waandishi wa Bibilia wameficha sehemu Yesu alitamka Allah kama ndio Mungu wake

    Tunajenga nyumba 1 tunagombania Fito na misumari
  9. The bump

    Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Waza Upya kifo sio adhabu yani uteseke miaka yote unawaza cha kumfanyia halafu uende mpa shortcut ya Pumziko? No way,waza vizuri mtie Ulemavu mmoja mtakatifu akikutana na watu wanamchangia pesa bila yeye kuwaomba.. Hiyo ndio adhabu Make Sure HAFI ile mateso na maisha mapya ya ile utachomfanyia...
  10. The bump

    Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Usimu UWE mpe ulemavu wa kudumu hata ukipatwa na la kupatwa utafungwa utatoka ila usimrahisishie adhabu. Mpe Kitu akikiangalia ana enjoy halafu baada ya miaka mtembelee unampa HAIIIIIIIII
  11. The bump

    Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Alikua serious na sikuweza tamani wala.kutaka mkera. Mjini hapa sikua na ndugu wakunisaidia tatzo lolote endapo ningepata janga, nilimuona kama mzazi,ndugu japo aliniona kama mpenzi wake. Sikua tayari kumpoteza kwa uzembe wowote ule its okay nilikubaliana nae kwa amani kabisa.
  12. The bump

    Jipatie Unlimited bando kutoka Vodacom, kuanzia elfu 70,000/= tu.

    Picha za ROUTER zenu mlizonazo naomba uziweke hapa...
  13. The bump

    Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Mkuu Wanaume tukiwa Wema Amini usiamini hawa wanawake Malipo ya wema wetu ni utaonekana CHOKO tu siku 1 Kama sio leo basi kesho ila hutokaa uonekane Ulikua Bora... Dadaz..tuwaache Dunia ina wa favor kwa kila angle.
  14. The bump

    Mlinzi wa Rais Samia aanguka ghafla wakati wa kampeni Mbalizi, Mbeya

    Huo mdondoko wenyewe kabisa hauna editing kabisaaa.. SO SAD asee... wangeeka njia ya bi mdashi aulambe mchanga
  15. The bump

    Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Binti mmoja alikua mpenzi wangu, Huyu dada alinisaidia MSALA wa kupelekwa JELA sio chini ya miezi 6 au Mwaka ila alisaidia nikaachiwa ile kesi bila kujua hata alichofanya. NIliogopa kumuuliza maana nlikua nahisi WHAT IF AKINAMBIA kalala na mpelelezi wa kesi yangu? Ukweli sikuwahi muuliza hadi...
Back
Top Bottom