Nguruvi3 unachosema si kibaya, mm naona si kama hakuna sheria, kanuni na taratibu za kuendesha nchi. Suala lililopo kwanza ni kukumbusha kuwa tuache kuendesha serikali na taasisi zake kwa mazoea.
Tunahitaji kubadilika kwa wakati huu wa uongozi mpya na nadhani kinachofuata ni kuimarisha mfumo...
Kasumba ya baadhi ya binadamu nikutaka watu wote wafikiri kama wanavyofikiri wao na kutenda kama watendavyo au waonavyo wao, hii haiwezekanani ni vema kuvumiliana na kupeana myda katika baadhi ya utekelezaji wa mambo muhimu ya kitaifa
Mnaweza sema kila aina ya maneno hapo cjui kama atasikia tayari kapepo kauzinzi kameishamshika na God fearing wake yanaingilia kushoto yanatokea kulia tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.