Recent content by The Big Brain

  1. T

    Kunani Yanga yetu mbona mpo kimya sana suala la usajili?

    Sioni sababu ya Yanga kufanya sajili nyingi. Kikosi cha Yanga wanaoanza first eleven ni mtiti, walioko nje nao ni mtiti… Sasa unaowasajili wanakuja kufanya nn[emoji23][emoji23][emoji23]. Mchezaji aliyeondoka na alikua kidogo anaanza ni Kisinda, Labda kama kuna pengo kaliacha hapo nitaona umuhim...
  2. T

    Pigo la Pili kwa Yanga SC Mchezaji Namba 6 waliyekuwa wakimtegemea awatosa na amesaini Club Ismailia ya Misri

    mbona siwaelewi, mlianza kwa kusema namba sita ni mkude, baadae mkasema Ni ngoma wa Al hilal. Sasa hv kawa mchezaji wa Asec tena [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. T

    Ilikuwa Mbao FC sasa zamu ya Pamba kunufaika

    apande ligi kuu kivip na wakati Kitayose hawajakatwa point
  4. T

    Jamhuri ya Muungano wa wahuni na masela

    Mnyama aligonga sana mlango wa Nusu fainali zaidi ya mara nne ila Wahuni na Masela wakamwambia sogea tuvunje mlango tuingie, hakuna Masterkey kwenye kufuri la Solex ni tindo na mateke tuzame ndani. Karibu kwenye Jamhuri ya Wahuni na Masela By Farhan
  5. T

    Viti vya barbershop

    sio lazima viwe disign hiyo, viti vya barbershop nadhani vinafahamika. vipo design nyingi sana
  6. T

    Viti vya barbershop

    Habari zenu ndugu!! Naomba kwa yeyote ambae anaweza kuniuzia viti vya barbershop (used) Au mwenye connection ya wap naweza kupata hvo viti lkn used bas tuwasiliane. Bajeti yangu kidogo imeyumba ndio maana ninatafuta used na sio vipya
  7. T

    Zama za kufungwa goli nyingi kwa Simba na timu za waarabu tumezizika rasmi. Kumwembe ukubali ukweli huu

    Ukibakwa umebakwa tu, huwezi jisifu eti”hata hiivyo kahangaika sana kunibaka”
  8. T

    FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

    Ukibakwa umebakwa tu, huwezi jisifu eti”hata hiivyo kahangaika sana kunibaka” [emoji14][emoji14]
  9. T

    Hakuna cha kufungwa kiume kichapo ni kichapo tu

    Ukibakwa umebakwa tu, huwezi jisifu eti”hata hiivyo kahangaika sana kunibaka” [emoji2][emoji2]
  10. T

    Manula out Kariakoo derby ya kesho

    Habari ya kushtua ni kwamba kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula anaweza asisimame langoni kesho saa 11:00 jioni dhidi ya Yanga katika pambano la Kariakoo Derby. Kipa huyo namba moja wa timu ya taifa, bado hajaanza mazoezi hadi jana jioni
  11. T

    Simba tunaweza kabisa kuwafunga Yanga

    Hivi kwanini kila mwanasimba anaeandika mada kuhusu mechi lazima azungumzie uchawi? Kwanini mashabiki wa team yetu wanaamini sana ushirikina? Sijaona kabisa wapinzani wetu wakiandika mada za kishirikina kuhusu hii game. Daah kuna vitu vingine ni aibu hata kuviongea, tunajiaibisha
  12. T

    Kapombe na Tshabalala nuksi Taifa Stars

    Manula hamna kitu pale ni shati tu, Kapombe nae sijui aliingia kufanya nini anakimbiza adui kama yupo kwenye mchakamchaka! Safu ya nyuma iliyocheza kule Misri ingeachwa vilevile.[emoji57][emoji57] zimbwe yy aliona kuna msala akaomba sub mapema[emoji3063]
  13. T

    Angalia alichopost Sadio Mane kuhusu Sakho, awaambia "Simba angalieni mchezaji wenu"

    kwa hiyo kaitwa kwenda kuwaburudisha wachezaji toka Ulaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Back
Top Bottom